Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,465
Kumbe Mkwe amesharudi Sudan? Tafadhali mwambie Babu yenu nasubiri zawadi yangu ya Kiko alizonihaidi kuniletea 🤪
Babu yenu nina shauku ya kuwaona wewe na Mjukuu wangu kichanga
Kumbe Mkwe amesharudi Sudan? Tafadhali mwambie Babu yenu nasubiri zawadi yangu ya Kiko alizonihaidi kuniletea 🤪
Labda kama umesahau, wiki ya novena ni mm ndio nilikusaidia
Nasoma bible, nasoma vitabu sana




Hapo juu penseli lgbt nimeona anasema wewe ndio unamtuma kutukana, hatukani mtu tu bali hadi wazazi wa huyo mtu.Uliza tu shemelaaa! Uliza saivi soon nitakua bize
Nitaenda kumkabili lema arusha mjini. Mtu atoke ukimbizini huko alipokua anaishi bure aje kusumbua watu huku walio busy na maendeleoUnavyopenda maswali 2025 uende mjengoni ukawa changamshe kina msukuma na maswali wanakula kodi zetu bure![]()
Nilitaka nikueleze hii, kuhusu kurudi tena kwenye novena.Ss hivi tunafunga wote novena hakuna kucheat![]()
Ooh .......Hongereni sana na Mkwe wangu mjeshi
Nitaenda kumkabili lema arusha mjini. Mtu atoke ukimbizini huko alipokua anaishi bure aje kusumbua watu huku walio busy na maendeleo



😍❤️❤️❤️
Hongera sana mnywanyi she is lovely enhe 🥰
Nilitaka nikueleze hii, kuhusu kurudi tena kwenye novena.




Na hiyo sauti ya mdee uliyonayo wataogopa sana, wanajikuta tu kura zote za ndioNinavyopenda amsha amsha lile la kampeni sasa!!!! Mimi nitakuwa campaign manager wako babe nina uzoefu huo na jimbo tunalichukua saa 4 asubuhi![]()
Hongera sana mnywanyi she is lovely enhe
Msiniache kwenye hiyo novena na mimi nimoNilitaka nikueleze hii, kuhusu kurudi tena kwenye novena.
Majibu antonnia???