Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

53 hiyo kwio

Kweli nyumba tutajenga 2033.

Acha tujizeeke kotazi ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†.

Mayai matamu lakini kwenye chips๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Mniwacheee na godauni languuu la kotaz kwaniii nina furaha kama zotreeee sikuhizi!!๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿค !!

Aahh nimetulia Zangu kotaz silipii Kodi wala sishtukii hataa na wala sijareeeee wala nenee ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!! !
 
53 hiyo kwio

Kweli nyumba tutajenga 2033.

Acha tujizeeke kotazi ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†.

Mayai matamu lakini kwenye chips๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!!
Hakuna kitu kinaleta faraja na furaha kama Watoto ankoo!
 
Mniwacheee na godauni languuu la kotaz kwaniii nina furaha kama zotreeee sikuhizi!!๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿค !!

Aahh nimetulia Zangu kotaz silipii Kodi wala sishtukii hataa na wala sijareeeee wala nenee ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!! !
Godown kwa kweli. .

Alafu tonnia zile chunusi ulizipata lini mbona hukusema au ni nyakiboo kumeku kondesha mpaka uso umechachuka.

Kama dekio la guest house embu ujee DSM ungae vizuri.

Yaani chunusi kama ukoko wa makande ptuu unaniangusha auntiee


๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!!
Hakuna kitu kinaleta faraja na furaha kama Watoto ankoo!
Na umesema kweli watoto ni baraka.

Mayai yana matumizi mazuri kweli kweli

Sema ndo hivyo tena waliopewa akili zipo kinembeni ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
 
Godown kwa kweli. .

Alafu tonnia zile chunusi ulizipata lini mbona hukusema au ni nyakiboo kumeku kondesha mpaka uso umechachuka.

Kama dekio la guest house embu ujee DSM ungae vizuri.

Yaani chunusi kama ukoko wa makande ptuu unaniangusha auntiee


๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nimecheka Kwan wenye chunusi mnatuonaje kwani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Godown kwa kweli. .

Alafu tonnia zile chunusi ulizipata lini mbona hukusema au ni nyakiboo kumeku kondesha mpaka uso umechachuka.

Kama dekio la guest house embu ujee DSM ungae vizuri.

Yaani chunusi kama ukoko wa makande ptuu unaniangusha auntiee


๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Trumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!
See you tomorrow anko wanguu urare unono!
Kesho Molla akijaalia!!
 
Trumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!
See you tomorrow anko wanguu urare unono!
Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue ๐Ÿค”

Kesho nayo ni siku pumzika ๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜‡๐Ÿ’ค
 
Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue ๐Ÿค”

Kesho nayo ni siku pumzika ๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜‡๐Ÿ’ค
Anaitwa Angel ankoo!!
Santrooo sana baraka tumezipokea!! ๐Ÿ˜˜
 
Anaitwa Angel ankoo!!
Santrooo sana baraka tumezipokea!! ๐Ÿ˜˜
Angel duuh umenikumbusha classmate wangu wa shule ya msingi alikuwa anakaa mbele yangu.

Alikuwa (mrefu, mweupe pee, na zigo)

Classmate wangu wa A level pia alikuwa mweupe pee sema alikuwa PCB jina hilo hilo angel.

Kwa kweli angel wengi niliokutana nao ni weupe.

HONGERA MUMMY ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‡
 
Wee kuna nini? Ig mbona imechachuka sana hii week kwann?? Hebu fumba macho tuombe kuna ndoa na mahusiano yanaenda kuvunjika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasemaa "ameeeeen" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Udugu had Ex wangu President T na Mr MU nimewaota leo na niliwahi kuwagonganisha unaambiwa ilikuwa kivumbi!!!!! Hii ndoto sijaielewa kabisaa afu nilikuwa kwenye campaign za kumpitisha MUSO na huyo ex simjui kwenye uhalisia, namuona ndotoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu eti nakaa Kingo na best angu Asnath anatoka na Prof Kinemo dah!! Hii ndoto ishindwe me hayo mazingira mbona siyajui kabisaa
Uduguuuuu ndotoo nyevuuu hiyooo, kimbiaa harakaaa sanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jiachie kwaraha zakoo cousin unamuogopa nani hasa????[emoji23][emoji23][emoji16]!

Afu mwambie Cute Wife Penseli 4 na cocastic mkuje kunipa sanareee za hapaaa nilikua cousinnn tags ninyingii sijui hata nianze na ipi[emoji23][emoji23][emoji1783]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie hata sielewiiiii shouzzz, najionea manjegekaaaa, na vile nimestaafu udaku na ufukunyukuu naona giza km usiku wa balaaa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!! Ukiwa tayari nistue niwabless kachanga uduguuu afu maziwa ni mengii sana hadi anapaliwa sijui nifanyeje!! Sikuhizi pozi la kuselfika sinaa uduguuu nguo inajaa maziwaa hadi zinaweka alama na tits zimejaa kama za Ng'ombe anaenyonyesha[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!
Trumbo sasa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Unaogopa nini na vitendea kazi vipo babuu??? Umri bado unakuruhusuuu !! Mjukuu wako tu nina 53 hapa nimebakiza kufyatua wawili watimie watano!! Wanaume hamzeeki kama sie so zaa kwaraha zakoo babuu!
Mwoga wa kusomesha kwa pension ๐Ÿคช
 
Back
Top Bottom