Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vijana waliruka "figures of speech" kipindi wanasoma language

Villager ni metaphor.

Mtu akifanya mambo flani hivi ya hovyo huwa tunamuita mshamba, na mtu akifanya mambo flani hivi ya kijijini tunamuitaje? Yes lazima maisha ya ukijijini yawe tofauti na mjini, ndio maana huwezi kuvaa manati mjini, au utake kwenda kukata kuni tabata
 
Vijana waliruka "figures of speech" kipindi wanasoma language

Villager ni metaphor.

Mtu akifanya mambo flani hivi ya hovyo huwa tunamuita mshamba, na mtu akifanya mambo flani hivi ya kijijini tunamuitaje? Yes lazima maisha ya ukijijini yawe tofauti na mjini, ndio maana huwezi kuvaa manati mjini, au utake kwenda kukata kuni tabata

Bhangi hizo em acha basi, njoo nikwambie kitu kizuri babe
 
Wewe huwa nakutengea muda wako maalum. Tukutane kuanzia saa 4, vaa kabisa diapers
 
Kwahiyo miki chawa ahahaha ila naipend kazi yangu
Sijui hata unaelewa nn naandika. Hapo nimeweka mfano, kwa sasa hivi ndio maana unaona watu wengi wanaitwa au wanajiita chawa.

Sasa wewe na uchawa wapi na wapi? Who knows you? Huo mfano unalenga wale ambao wanajulikana hivyo (baba levo, mwijaku n.k)
 
Sijui hata unaelewa nn naandika. Hapo nimeweka mfano, kwa sasa hivi ndio maana unaona watu wengi wanaitwa au wanajiita chawa.

Sasa wewe na uchawa wapi na wapi? Who knows you? Huo mfano unalenga wale ambao wanajulikana hivyo (baba levo, mwijaku n.k)
Kabisa nipo kwenye mchakato wakuingua kwenye kiwanda cha sanaa
 
Kwa kweli

Babu yako mwenyewe nisingekuwa mwoga wa maisha ningefyatua wa uzeeni 🤪🏃🏃🏃
Unaogopa nini na vitendea kazi vipo babuu??? Umri bado unakuruhusuuu !! Mjukuu wako tu nina 53 hapa nimebakiza kufyatua wawili watimie watano!! Wanaume hamzeeki kama sie so zaa kwaraha zakoo babuu!
 
😆😆😆😆😆😆 Nacheka kama mweu.

Nipo nje hapa kijiweni watu wananishangaa

Eti nn 53 🤣🤣🤣🤣🤣
ndio 53 ankoo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Jf sihamiiiiii🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺!!
 
53 hiyo kwio

Kweli nyumba tutajenga 2033.

Acha tujizeeke kotazi 😆😆😆😆.

Mayai matamu lakini kwenye chips🤣🤣🤣😅😅😅😅
Mniwacheee na godauni languuu la kotaz kwaniii nina furaha kama zotreeee sikuhizi!!🕺🕺🕺🤠!!

Aahh nimetulia Zangu kotaz silipii Kodi wala sishtukii hataa na wala sijareeeee wala nenee 🤠🤠🤠😂😂!! !
 
53 hiyo kwio

Kweli nyumba tutajenga 2033.

Acha tujizeeke kotazi 😆😆😆😆.

Mayai matamu lakini kwenye chips🤣🤣🤣😅😅😅😅
Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips 🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Hakuna kitu kinaleta faraja na furaha kama Watoto ankoo!
 
Back
Top Bottom