Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Sema wewe atakusikiaOngea na tajiri yangu Dr Lizzy 🙂🙂
Sema wewe atakusikiaOngea na tajiri yangu Dr Lizzy 🙂🙂
😅😅😅😅..Mkurugenzi ndio mzuri maagizo yatoke juu kabisa!!!!😊
😅😅😅 na mie ndio mashangaaa, asije kuwa mlinzi anatafuta sehemu ya kulalaMwachiluwi anazingua!! Sasa scout anaweza hata kukimbizana na kibaka??😮
😅😅 Majukumu ya home ni yake.Sema wewe atakusikia
Ahahha mshawishi vzr😅😅 Majukumu ya home ni yake.
Toa location mzeeMwana JF .. ambae anazubazubaa hapa karibu tupigwe misosi ya baharini huku tunakula ngoma kali mazee
😅😅😅 mtumie £££ kadhaa kwanza aone kama unafaa kuwa mlinziAhahha mshawishi vzr
😅😅😅😅 unakuja na nani ? nipo pa siku zote sinaga chaka lingineToa location mzee
Ahahahha dola adimu now😅😅😅 mtumie £££ kadhaa kwanza aone kama unafaa kuwa mlinzi
Nikupe cchaka hayo maeneo change mazingra😅😅😅😅 unakuja na nani ? nipo pa siku zote sinaga chaka lingine
hiyo pound mzee ukikosa pound uje na €€€... tusije mpa chaka mlinzi mwenye njaa akatuibiaAhahahha dola adimu now
😅😅😅 taja jina jione au herudi tatu za mwanzoNikupe cchaka hayo maeneo change mazingra
Ahhahah sina ata tshhiyo pound mzee ukikosa pound uje na €€€... tusije mpa chaka mlinzi mwenye njaa akatuibia
Smc😅😅😅 taja jina jione au herudi tatu za mwanzo
😅😅😅 umekosa vigezo tayariAhhahah sina ata tsh
ndio upo hapo au 😅😅