YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Mfanyakazi analipwa mshahara mwisho wa mwezi, baada ya kuutumikia kwa siku 30
Wewe fwedha huna usituchoshe




Sisi hatutaki watumishi, tunawataka wafanya biashara
Mfanyakazi analipwa mshahara mwisho wa mwezi, baada ya kuutumikia kwa siku 30




😂😂😂Subutuuu labda uwe umeichambiaa kwanza ndyo utumee
Jr sio damu yenuu uduguuu ilaa atakuja kula kekiii anazipenda balaa...Niliingia kulala na nimeamka nimeanza kusoma msg za babe wangu CW hata sijafatilia kilichoendelea!!!
Sema km sio za muhimu hizo tags achana nazo, tuendelee na yaliyopo bana
Ko sasa vipi mbona hujanijibu Miongozo Jr utamleta lini kwa auntie yake Mrs CWkuna cake nataka nimpe
Jr sio damu yenuu uduguuu ilaa atakuja kula kekiii anazipenda balaa...




Penseli comments ni nyingi nimeshindwa kusoma zote. Utanikunbusha tuliishia wapi
Yes kaza butiMungu akubariki Mkuu,heri unatambua hilo la kututia moyo kwa kutusapoti...Wanawake wadangaji wanatuona wajinga
Wewe niungishe tu,usiwe na hofu kabisa...Ninajali sana privacy za wateja wangu.
Nikki wa 2 comments ni nyingi nimeshindwa kusoma zote.
Leo ni weekend Basi nataka kuvalishwa pampers
Niko poa udugu ila usiku wangu ulikuwa wa hovyo sijaona, nimeota naruka mabweni ya MU
Nimejishangaa niko juu kule samiti afu ngazi sizioni za nje, naziona za ndani na siwezi kuzifikia hapo kibasila, nikaruka nikafikia ngazi nikatoka. Ghafla nipo Kinje nika survive nikatoka, sijatulia nashangaa nipo juu kunambi nimetoka nimepelekwa Sophia, nimetoka nahema nikaibukia Nah hall nyie nikamuona Prof Wiketye ananiangalia na yale mashavu yake
Hizi Dawa leo sinywi nitakufa aiseeee naota vitu ambavyo sivijui


Niliingia kulala na nimeamka nimeanza kusoma msg za babe wangu CW hata sijafatilia kilichoendelea!!!
Sema km sio za muhimu hizo tags achana nazo, tuendelee na yaliyopo bana
Ko sasa vipi mbona hujanijibu Miongozo Jr utamleta lini kwa auntie yake Mrs CWkuna cake nataka nimpe


Kijana mdogi uunajiita babu sawa mzee
Angalia vizuri hiyo picha, ni ya mwaka 1973 nilipokuwa kijana 🤗Kijana mdogi uunajiita babu sawa mzee




🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠!! Ukiwa tayari nistue niwabless kachanga uduguuu afu maziwa ni mengii sana hadi anapaliwa sijui nifanyeje!! Sikuhizi pozi la kuselfika sinaa uduguuu nguo inajaa maziwaa hadi zinaweka alama na tits zimejaa kama za Ng'ombe anaenyonyesha🤠🤠🤠🤠!Fanya mambo au km vipi tupia ya ka baby
Nawashwa na huyo mtoto km umemdhulumu kaka angu![]()
Ukute ukichukuliwa kichawi uduguu mambo ya kupaa tena🤠🤠!Usicheke nilikuwa nakufa leo, nimeruka maghorofa sijawahi kuona yani!!![]()

Hongera kutuletea wajukuu, najua Babu yao nitapata watu wa kuwatuma waniletee Tumbaku zangu 🤪🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠!! Ukiwa tayari nistue niwabless kachanga uduguuu afu maziwa ni mengii sana hadi anapaliwa sijui nifanyeje!! Sikuhizi pozi la kuselfika sinaa uduguuu nguo inajaa maziwaa hadi zinaweka alama na tits zimejaa kama za Ng'ombe anaenyonyesha🤠🤠🤠🤠!
Trumbo sasa 🙌🙌🙌🙌🙌😁
Ukute ukichukuliwa kichawi uduguu mambo ya kupaa tena!




