Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niliingia kulala na nimeamka nimeanza kusoma msg za babe wangu CW hata sijafatilia kilichoendelea!!!

Sema km sio za muhimu hizo tags achana nazo, tuendelee na yaliyopo bana

Ko sasa vipi mbona hujanijibu Miongozo Jr utamleta lini kwa auntie yake Mrs CW kuna cake nataka nimpe
Jr sio damu yenuu uduguuu ilaa atakuja kula kekiii anazipenda balaa...
 
Niko poa udugu ila usiku wangu ulikuwa wa hovyo sijaona, nimeota naruka mabweni ya MU

Nimejishangaa niko juu kule samiti afu ngazi sizioni za nje, naziona za ndani na siwezi kuzifikia hapo kibasila, nikaruka nikafikia ngazi nikatoka. Ghafla nipo Kinje nika survive nikatoka, sijatulia nashangaa nipo juu kunambi nimetoka nimepelekwa Sophia, nimetoka nahema nikaibukia Nah hall nyie nikamuona Prof Wiketye ananiangalia na yale mashavu yake

Hizi Dawa leo sinywi nitakufa aiseeee naota vitu ambavyo sivijui
 
Niliingia kulala na nimeamka nimeanza kusoma msg za babe wangu CW hata sijafatilia kilichoendelea!!!

Sema km sio za muhimu hizo tags achana nazo, tuendelee na yaliyopo bana

Ko sasa vipi mbona hujanijibu Miongozo Jr utamleta lini kwa auntie yake Mrs CW kuna cake nataka nimpe
 
Umekuja mapema sana haupo busy huko?
Ngoja nimalizie malizie mambo, si weekend leo haraka ya nn?
 
Fanya mambo au km vipi tupia ya ka baby
Nawashwa na huyo mtoto km umemdhulumu kaka angu
🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠!! Ukiwa tayari nistue niwabless kachanga uduguuu afu maziwa ni mengii sana hadi anapaliwa sijui nifanyeje!! Sikuhizi pozi la kuselfika sinaa uduguuu nguo inajaa maziwaa hadi zinaweka alama na tits zimejaa kama za Ng'ombe anaenyonyesha🤠🤠🤠🤠!
Trumbo sasa 🙌🙌🙌🙌🙌😁
 
🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠!! Ukiwa tayari nistue niwabless kachanga uduguuu afu maziwa ni mengii sana hadi anapaliwa sijui nifanyeje!! Sikuhizi pozi la kuselfika sinaa uduguuu nguo inajaa maziwaa hadi zinaweka alama na tits zimejaa kama za Ng'ombe anaenyonyesha🤠🤠🤠🤠!
Trumbo sasa 🙌🙌🙌🙌🙌😁
Hongera kutuletea wajukuu, najua Babu yao nitapata watu wa kuwatuma waniletee Tumbaku zangu 🤪
 
Back
Top Bottom