Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😆😆😆
Sasa sie na minywele yetu tumekukosea nini wajameni

Embu tupumzishe na makomwe yetu sie😒😂
🤣🤣 ndio manotilesi? Mara meusi mara ya gold sijui kaki?

Mko kama majini 😂😂
Mbona kusuka styles ziko mob
Mchawi kibunda? Si mnyoe? Kunyoa ni buku
 
hata wewe mdogo wangu 🥴🥴🥴
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..
Acha mikwara wewe😁😁
 
ndio maana kapotea maskini, nilivyopata changamoto.. alinipa moyo na pole PM.. mama mchungaji wa watu hana ubaya dah
Yupo busy tu na majukumu ya kulea.
Wapumbavu wachache hawawezi mtoa kwenye reli.


Nakumbuka hata kipindi kile Cha msiba wa Mzee,alikuonea huruma mno,akaniambia nikupe pole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom