National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
flat tumbo moja matata 😊😊😊 sema penzi letu la kitambo sana alafu hatuchokani wala ninimasihara pembeni mtoto kasimamia ukucha.
c.c Depal
flat tumbo moja matata 😊😊😊 sema penzi letu la kitambo sana alafu hatuchokani wala ninimasihara pembeni mtoto kasimamia ukucha.
Soon posible 😂😂😂 niungie bandi ili nisipitwe hata na nukta 😂Utasutwaa 😃😃 na wahudumu wa voda
Watu aina ya penseli wamelaaniwa. Hata kwenye maandiko yalishasema kuhusu hawa watu, ndio maana kule sodoma walichomwa moto.Wapuuzi wanafaa kupuuziwa
Umuache ajipe airtime akichoka ananyamaza, kakuta watu wako tangu 2007 halafu anakuja kujifanya anajua watu humu ndani kama amezaliwa nao
Pathetic!
Baba anawasnitch wenzake 🤣🤣Baba mstaarabu sana yule na ananikubali sana so asingeweza kuona nachafuliwa akakaa kimya 🤣🤣🤣🤣
Nami nasemajeee nampenda tu sana🥰
The Universal Donor.....Tuselfike Darlin g
Usipozimaintain vizuri mbona utaonekana kama kichaa🤣Nilijaribu😆😆😆
Wuuueeehhhh nimenyanyua mikono juu
Nlitengeneza kwa Diddy expert kwa 70,000 mbona nlinyooka, nlivyotoka hapo ni mimi na knotless zangu za 20,000
Mtaani kwako hamna WiFi? HamaSoon posible 😂😂😂 niungie bandi ili nisipitwe hata na nukta 😂
Dogo wa sphincter mtelezo . Sipati picha tumbo likikusumbuaDuuuh pole sana. Ndo maisha uliyochagua
Nachukua tuition kwa mwijaku kila kukichaSelfika bana, liver wa nini
Umeanza kua dalali maneno eee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Baba anawasnitch wenzake 🤣🤣
Atapita hapa
Ataona hilo kopa
Atakulambisha asali 🤣🤣🤣🤣
Sijui kwa nini sisi wapole huwa tunazinguliwa sana kwenye social media. Anyway ndio binadamu walivyo
Hakuna kabisa huku wifi mpaka niende four point 😂Mtaani kwako hamna WiFi? Hama
Napita naked muda si mrefu usitokeleo afadhali chief tumeona kisogo😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimestaafu, JF iko kiganjani kwangu, haitikisiki wala haisumbuiii.
Penseli upo mikocheni hadi saa ngapi? Nataka nitume mtu aje akuchukue, nipime hiyo hole kwa calliper[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji706]
Typing error emb edit hapo [emoji23]
Duuh pole sanaMtu kama mimi nimelaaniwa. Hata kwenye maandiko yalishasema kuhusu hawa watu, ndio maana kule dodoma walichomwa moto.
Nikki wa pili amezaliwa mwanaume, kwa makusudi na tamaa ndogondogo ameamua kuvua ubingwa.