Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kumbe hadi PM kwa wanaume wenzie anaenda, mbona kuna makubwa huku
Mie juzi kaniongelea sana, nishamuona mjinga nimemuacha ajitekenye, hasara tupu๐Ÿšฎ
Chuo ameenda kusomea ujinga
Piga block mbwa mbwa wote ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Yule baba wenzake wanampelekea umbea
Na yeye anautoa nje
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hivi unajua wale sio wazima?
Sema napenda sekta yake ya kukana
Mjomba anajua kukana yule ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Yule sio baba, ni anko nchumali
Asie na range wala hela lakini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliishia kumuonea huruma
Ndo aliniambia

Nikamwambia habari sina[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Sielewi hata ni akina nani wanamfedhehesha dada wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
ndio maana kapotea maskini, nilivyopata changamoto.. alinipa moyo na pole PM.. mama mchungaji wa watu hana ubaya dah ๐Ÿ˜”
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Sasa sie na minywele yetu tumekukosea nini wajameni

Embu tupumzishe na makomwe yetu sie๐Ÿ˜’๐Ÿ˜‚
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ndio manotilesi? Mara meusi mara ya gold sijui kaki?

Mko kama majini ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mbona kusuka styles ziko mob
Mchawi kibunda? Si mnyoe? Kunyoa ni buku
 
hata wewe mdogo wangu ๐Ÿฅด๐Ÿฅด๐Ÿฅด
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..
Acha mikwara wewe๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
ndio maana kapotea maskini, nilivyopata changamoto.. alinipa moyo na pole PM.. mama mchungaji wa watu hana ubaya dah [emoji17]
Yupo busy tu na majukumu ya kulea.
Wapumbavu wachache hawawezi mtoa kwenye reli.


Nakumbuka hata kipindi kile Cha msiba wa Mzee,alikuonea huruma mno,akaniambia nikupe pole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom