Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Acha tu ndio maana nasikitika sana. Timu inashambuliwa alafu diarra anatoka golini
Acha tu ndio maana nasikitika sana. Timu inashambuliwa alafu diarra anatoka golini
Coca wewe naamini kuna siku ntaacha kusikitika. ila penseli haiwezekani tena





mie sio shida zanguuuu. Wee Relaaaaaaaxxxxxxx!!!!Tena vocha inayosubiriwa hapo ni ya voda😆😆😆Walau tuendelee kusoma contect kwa uhuru 😂
Na mzungu 🥰Na umetelekezwa, shauri yako
Muhimbili wameanza kutibu wenye tatizo la nguvu za kiume, kudosNenda muhimbili aseee. Utakufa mapema DC
Maisha magumu hee, huto tuvocha unatusev sana majoblessWalau tuendelee kusoma contect kwa uhuru 😂
Mama kama ni voda nishakosa nitapambana na airtel 😂😂Tena vocha inayosubiriwa hapo ni ya voda😆😆😆
Yaani hapa hapafai tenaHalafu mtu anakuja nyenyenyeeee nakujua sijui ni single maza sijui una gono, pambafuuuu.
Leo yuko wapi😒
Acha tu ndio maana nasikitika sana. Timu inashambuliwa alafu diarra anatoka golini







TusingepumuaNa mzungu 🥰
Imagine katoto ni half cast... salalee mngezima hapa ndani.
Napita naked kwanza usitokeSelfika basi hata vocha bloo
Nimekodoa hapaNapita naked kwanza usitoke
😬😬😬😬😬😬😬😬😬Acha mikwara wewe😁😁
Hasa sisi tunaokaa kwa mashemeji 😂😂 tunakula na kushiba ila wanao kaa kwao wamekondeana kama bawaba ya mlabgobMaisha magumu hee, huto tuvocha unatusev sana majobless
Waambie na wenzio 😂Tusingepumua
😂😂😂😂 af nikakosaNliona juzi ulikua unasubiri ya voda😂
Leo nimejaa jaa, Mjep embu fanya kweli huku
Haya yote chanzo ni penseli, kisayansi sphincters zikishalegea hata ubongo huwa unaacha kufanya kazi yake sawasawa. Baada ya hapo utumbo huanza kushambuliwa kwa kasi, ndio maana huwa hawatoboi miaka 40
Wewe ita tu sweetheart unashangaa kesho unaskia nina mimba yako ya miezi saba na umeshaniacha tayar
Oohhoo
Yupoo mbna humu humu, siku hizi hawagi sana lakini. Sasa imagine kipindi kilee napangua jopoo LA watu humu ndaniii, kwa I'd hii hii.Siku hizi umeacha kuchamba watu??
Umenikumbusha mbali
Kuna jamaa alinambia yaani nyie mnaomwuote huyo dogo nikikutana na nyie nawacharaza fimbo
Halafu dogo nikikutana naye namfunga jiwe akafie baharini
Nilicheka nikakaa chini
Sent using Jamii Forums mobile app




selfika imevamiwaaa, wallah khaaah.Comment zako zimenichekesha sana 😁😁😁jitahidi mikwara nayo inasaidia.😬😬😬😬😬😬😬😬😬
cha ukorofi nawe umtokea wapi😅😅
au kamanda kagoma kulala