Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Wewe ita tu sweetheart unashangaa kesho unaskia nina mimba yako ya miezi saba na umeshaniacha tayar
Oohhoo
Haya yote chanzo ni penseli, kisayansi sphincters zikishalegea hata ubongo huwa unaacha kufanya kazi yake sawasawa. Baada ya hapo utumbo huanza kushambuliwa kwa kasi, ndio maana huwa hawatoboi miaka 40
 
Siku hizi umeacha kuchamba watu??

Umenikumbusha mbali
Kuna jamaa alinambia yaani nyie mnaomwuote huyo dogo nikikutana na nyie nawacharaza fimbo

Halafu dogo nikikutana naye namfunga jiwe akafie baharini
Nilicheka nikakaa chini

Sent using Jamii Forums mobile app
Yupoo mbna humu humu, siku hizi hawagi sana lakini. Sasa imagine kipindi kilee napangua jopoo LA watu humu ndaniii, kwa I'd hii hii.

Afu leo mtu anasema nafungua I'd mpya nimtukanee!! Tena kwa kitu kisicho na maana, hivi ananijua au ananisikiaaa??

selfika imevamiwaaa, wallah khaaah.
 
Back
Top Bottom