Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
NakaziaUtapata kitengo mdogo wangu.. elfu 70 kitu gani banaa 😊😊.. Pendeza tu hadi wenye wivu wafe
NakaziaUtapata kitengo mdogo wangu.. elfu 70 kitu gani banaa 😊😊.. Pendeza tu hadi wenye wivu wafe
Sasa nalalaje na dada yangu nalalaje na mdogo wangu dah 😅😅😅Yupo busy tu na majukumu ya kulea.
Wapumbavu wachache hawawezi mtoa kwenye reli.
Nakumbuka hata kipindi kile Cha msiba wa Mzee,alikuonea huruma mno,akaniambia nikupe pole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umekaza sananimestaafu, JF iko kiganjani kwangu, haitikisiki wala haisumbuiii.
Mpe habariii, akachezee anakochezagaaaa.
JF bhana full manjegekaaa, ya humu nayaacha humu, afu mie sio shida zangu.
Ndio mfanye mchango nikae kabisa 😂🤣🤣🤣🤣 Unapenda umbea bando huna
Hapa mahali ni kiboko 😁😁 🙌🙌🙌😂😂😂😂
Wewe ita tu sweetheart unashangaa kesho unaskia nina mimba yako ya miezi saba na umeshaniacha tayar
Oohhoo
Hahahhaha, ngoja nijijenge kwanza nikiwa na minyoosho yanguUtapata kitengo mdogo wangu.. elfu 70 kitu gani banaa 😊😊.. Pendeza tu hadi wenye wivu wafe
😂😂😂😂 baadae after tea ni kusinzia badala kutafuta mkate wa mtoto.Ila we ni mshenzi😆😆😆😆😆😆
Naomba wakunyang’anye simu ulale jaman
Watu wabayaSasa nalalaje na dada yangu nalalaje na mdogo wangu dah
humu sio..









Kuna muda unajiamini kuna muda unalose confidence. Sasa kuja kukupima unaogopa nn?Duuuh
Selfika basi hata vocha blooHapa mahali ni kiboko 😁😁 🙌🙌🙌
Tuache story tuselfike tuu
Tumevamiwaa
Na umetelekezwa, shauri yako😂😂😂😂 baadae after tea ni kusinzia badala kutafuta mkate wa mtoto.
Mwambie nimempa midofii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Em muacheeeeee
Halafu mtu anakuja nyenyenyeeee nakujua sijui ni single maza sijui una gono, pambafuuuu.Hapa mahali ni kiboko 😁😁 🙌🙌🙌
Tuache story tuselfike tuu
Tumevamiwaa
Walau tuendelee kusoma contect kwa uhuru 😂Selfika basi hata vocha bloo
Coca wewe naamini kuna siku ntaacha kusikitika. ila penseli haiwezekani tenahaya sasa Relaaaaaaaaxxxxx!!!
Mwendo wa kula matunda tu.. mzee 😅😅😅..tunda limeivaa mzee . ni kujiramba tuuu 😅😅..Wakongwee mlijiopolea vyenu mapema mkatulia.
Sasa hivi ni mwendo wa kutolewa figo tu
Siku hizi umeacha kuchamba watu??nimestaafu, JF iko kiganjani kwangu, haitikisiki wala haisumbuiii.
Mpe habariii, akachezee anakochezagaaaa.
JF bhana full manjegekaaa, ya humu nayaacha humu, afu mie sio shida zangu.








Kabisa naona mm nalala bando linakata mkono ila najua nitaota selfika 😂natoa stress za supp😅
🤣🤣🤣 Em dili na bff hukoMwambie nimempa midofii
Na uzuri ananijua vizuri vikitibuka 😂😂