Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nimestaafu, JF iko kiganjani kwangu, haitikisiki wala haisumbuiii.
Mpe habariii, akachezee anakochezagaaaa.

JF bhana full manjegekaaa, ya humu nayaacha humu, afu mie sio shida zangu.
Siku hizi umeacha kuchamba watu??

Umenikumbusha mbali
Kuna jamaa alinambia yaani nyie mnaomwuote huyo dogo nikikutana na nyie nawacharaza fimbo

Halafu dogo nikikutana naye namfunga jiwe akafie baharini
Nilicheka nikakaa chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom