National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,199
hata wewe mdogo wangu 🥴🥴🥴Nimesikia pia eti Mimi na wewe tulikutana tukafanya yetu huko Dodoma wakati nimeenda kuchukua cheti
Sijui eti tukalala Morogoro tukasingizia gari limeharibika
Akiyanani
Cheti nilichukua wakati wa graduu..
Kipindi kile wakati wa msiba tumekutana nimeenda kanisani,sijui cheti gani tena wadau walinitengenezea
Na safari ya Dodoma interview nikasafiri usiku kucha kuwahi kibarua Cha muhindi,nilipost picha nipo Msamvu nikiwa kwenye bus.
Nasikia ndo wanasema eti gari lilituharibikia hapo,sasa sijui siku hizi unaendesha mabus
Hizi stori zimenichekesha nikataka kuzimia.
Ngoja niweke na Ile selfie yetu ya Mlimani City siku Ile tumeonana nikiwa na ndugu zangu.
Sijui wataitungia story ipi safari hii
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..







