Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Imeniuma kweli, alafu walivo wapuuzi nilipo pita nimeacha grid ya taifa... wanawachafu watu bure tu..

Ningekuja na Benz wangesema nimekuoa kabisa sasa

Unajua nini mdogo wangu, Kinachosumbua wengine humu wivu tu..

Sema habari za vyeti zilinichekesha
Habari ya mkesha hawaijui, habari ya Kanisani hawaijui

Wamepaona Chimwaga wakaunga stori kuwa alimsindikiza kuchukua cheti



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole bro achana nao, mambo ya kuzushiwa yanauma sema ndo binadamu midomo mali yao hawalipii VAT

Km vipi wapotezee, kwan wanaongeza nini kwenye maisha yao
Mimi mambo ya kuzushiwa hayajawahi niuma
Yananichekesha


Yaani washikilie hapohapo wazidi paisha jina langu,nikifungua rasmi bakery ni mteremko tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uuwiii
Shem kama shem umetoa wapi tena huyu kivuruge wangu jamanii
Nitaweka wapi sura yangu mimi wallah
Umeona sasa shem umeharibu
nachekaa hadi bas, wee Mjep hebu waambie watu, mie ni nani kwakooo?? Mie kujibu naona kaziii.
 

Sema habari za vyeti zilinichekesha
Habari ya mkesha hawaijui, habari ya Kanisani hawaijui

Wamepaona Chimwaga wakaunga stori kuwa alimsindikiza kuchukua cheti



Sent using Jamii Forums mobile app
😬😬 hawana maaana hawaa viumbe.. walivyo wao wanafikiri wote tupo hivyooo... jumamisi twende beach mdogo wangu.. aisee.. mpe pole mama mchungaji maskini, dada watu kajinyookea wanamuungaisha kwenye matukio ya hovyo hovyo
 
Ndio mkuu we unatumia nn?

Good dawa
8181560C-7BBC-48BE-A919-FEB23B31EA48.jpeg
 
Back
Top Bottom