Imeniuma kweli, alafu walivo wapuuzi nilipo pita nimeacha grid ya taifa... wanawachafu watu bure tu..
Ningekuja na Benz wangesema nimekuoa kabisa sasa
Unajua nini mdogo wangu, Kinachosumbua wengine humu wivu tu..



















Wewe shem weweAmefika mwenyewe anasema moyo ulikuwa unamuenda mbio sana
Depal anakaba hadi uvuli aisee.. kaniwekea tracker 😅😅Hahaha Jasiri haachi asili mzeee
He is one of a kind🥰🥰Bff is a man & half you know.😍
Kazi yake ni njema.. hakuna muda wa kuchezea na gumegume za jf 🚮
Nimesahau kuongeza dozi iliisha basi hapa najionea maluwe luwe tu![]()




Mimi mambo ya kuzushiwa hayajawahi niumaPole bro achana nao, mambo ya kuzushiwa yanauma sema ndo binadamu midomo mali yao hawalipii VAT
Km vipi wapotezee, kwan wanaongeza nini kwenye maisha yao
Wanyoe na waoKuna uzi ule wa walionyoa wamefulia ndio nausoma unanifurahisha, nikimaliza nalala






😬😬 hawana maaana hawaa viumbe.. walivyo wao wanafikiri wote tupo hivyooo... jumamisi twende beach mdogo wangu.. aisee.. mpe pole mama mchungaji maskini, dada watu kajinyookea wanamuungaisha kwenye matukio ya hovyo hovyo
Sema habari za vyeti zilinichekesha
Habari ya mkesha hawaijui, habari ya Kanisani hawaijui
Wamepaona Chimwaga wakaunga stori kuwa alimsindikiza kuchukua cheti
Sent using Jamii Forums mobile app
Dove sinaCake hadi desemba alafu mna perfume za dove??? Au nyie mna gani yangu inakaribia kuisha kweli.




wee hebu sema kweli na uongezee sauti, wasikie watu woteee Achana nao bana
Vikopo vyote vyeupee, naogopa tu vijidudu visipande kichwani nikaharibu🤣🤣
Basi embu kunywa fasta huchelewi kukiamsha huku ndani
Shem we chochea moto tu shauri yako😁😁😁😁
Tulikuwa na hekaheka humuZamani nilipitwa wapi mie jomooooni
Wewe tuachane na hayo, dagaa zangu nakudai usijisahulishe