YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Babu weee fimbo ya mbali haiui nyokaShem wako yuko mbali ndio kwanza anapanga kunikwaza anizidishie ugonjwa tu mfyuuu
Nilivyopata hiyo stori nikasema ah akhsante wanazidi nipaisha Saint Anne mie nilipoa
Tembea na hiyo fame, utoke zako kibiashara
Si unajua mimba inavyopenda mapishi ya keki![]()
Dah! Poa bana ngona nilale mpendwa mie.. ila hili halitoshia salama.. watajuta walichofanyaI beg you to stop...
Sasa heka heka za selfika, mie zinanistuaa?Panda post za uko juu![]()




sijaona jipyaa mie, zikusisimue wee mgeni, selfika ilikua zamani sio sasa.Ngoja nikuletee na cret zima kabisaa! Ulewee Kama harmonize.Asante sana mdogo wangu!
Kumbe mie utani utani watu wanajua kweli..
Kitu kibaya sana kuishi kwa hisia, humu JF sijawai lala hata na mwanamke mmoja na haitakaa ikatokea hilo.. lakini watu wanalazimisha tu..
Sema nini mdogo wangu Darlin .. mie nitamalizana nao kwa namna yangu.. nayo ijua.. wamenichafua ile mbaya.. alafu wengine wanafiki kinoma wana chati na mie hapa shenzi zao kabisaa
Mmeanza TenaAiseee



😂😂😂😂 sawaNdo utulie sasa![]()
😔😔😔😔.. dah!Ule wimbo Joti anasema, kumbe marafiki nyoka, wengine ni makenge, wengine ni mimamba
Ndio unao apply huku JF.
Pole bana, ukisema u deal nao uta deal na wangapi, raha ya haya mambo mtu anajitekenya halafu anaacha mwenywe![]()
Hiv coca mbona una majibu shot sana taMuulize yeye Mjep mie ni nani kwake? Nafikiri utapata jibu sahihi.
Cake hadi desemba alafu mna perfume za dove??? Au nyie mna gani yangu inakaribia kuisha kweli.Mmeanza Tena
Hebu acha habari zenu
Huo muda mnagombana hebu njoo uniungishe Cake ule,
Na perfumes pia nauza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa heka heka za selfika, mie zinanistuaa?
sijaona jipyaa mie, zikusisimue wee mgeni, selfika ilikua zamani sio sasa.
Wee enjoy manjegeka ya humu, afu log out.



wana waharibia wengine .. ndio kimenikwanza. Ila fresh acha ni shughulike nao nyuma ya stage.. tule ubwabwa kama wanaakili watubu mapema sana hapa.. bila hivyo mie sihusikiPole bro achana nao, mambo ya kuzushiwa yanauma sema ndo binadamu midomo mali yao hawalipii VAT
Km vipi wapotezee, kwan wanaongeza nini kwenye maisha yao
Mmeanza Tena
Hebu acha habari zenu
Huo muda mnagombana hebu njoo uniungishe Cake ule,
Na perfumes pia nauza.
Sent using Jamii Forums mobile app
ado upo kwenye whitedent? 😂😂Cake hadi desemba alafu mna perfume za dove??? Au nyie mna gani yangu inakaribia kuisha kweli.
View attachment 2713962
Nimesahau kuongeza dozi iliisha basi hapa najionea maluwe luwe tu 🤭🤭
Ninyonyeshe mtoto
Asiyejulikana..



