Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante sana mdogo wangu!

Kumbe mie utani utani watu wanajua kweli..
Kitu kibaya sana kuishi kwa hisia, humu JF sijawai lala hata na mwanamke mmoja na haitakaa ikatokea hilo.. lakini watu wanalazimisha tu..

Sema nini mdogo wangu Darlin .. mie nitamalizana nao kwa namna yangu.. nayo ijua.. wamenichafua ile mbaya.. alafu wengine wanafiki kinoma wana chati na mie hapa shenzi zao kabisaa
Ngoja nikuletee na cret zima kabisaa! Ulewee Kama harmonize.

Screenshot_20230810-230154~2.png
 
Ule wimbo Joti anasema, kumbe marafiki nyoka, wengine ni makenge, wengine ni mimamba
Ndio unao apply huku JF.

Pole bana, ukisema u deal nao uta deal na wangapi, raha ya haya mambo mtu anajitekenya halafu anaacha mwenywe
😔😔😔😔.. dah!
Mie haijaniuma sana, imenikwaza kuwahusisha watu wengine na mie na kuna ambao sijawa hata kuwaona.. naambiwa hadi Tinsley nimekula 😅😅😅 mdogo wangu binti wa watu hakana makuu kale.. katoto ka watu hadi kameikimbia jf ..
 
Sasa heka heka za selfika, mie zinanistuaa?
sijaona jipyaa mie, zikusisimue wee mgeni, selfika ilikua zamani sio sasa.

Wee enjoy manjegeka ya humu, afu log out.

Zamani nilipitwa wapi mie jomooooni

Wewe tuachane na hayo, dagaa zangu nakudai usijisahulishe
 
Pole bro achana nao, mambo ya kuzushiwa yanauma sema ndo binadamu midomo mali yao hawalipii VAT

Km vipi wapotezee, kwan wanaongeza nini kwenye maisha yao
wana waharibia wengine .. ndio kimenikwanza. Ila fresh acha ni shughulike nao nyuma ya stage.. tule ubwabwa kama wanaakili watubu mapema sana hapa.. bila hivyo mie sihusiki
 
Back
Top Bottom