YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
🥴🥴🥴 mie na umalaya wapi na wapii aisee.. tuwarogeWatu wachache kuna mzee mmoja na maind sana hapa jf nilikuwa nipo bise na jukwaa la siasa kaanza kutmbea pm za watu kunizushia ya kunizushia
Mimi nimesema sasaiv mtu atakavyo nijia ndivyo namjia nitamtukana mpak akatubu kwenye makabur ya kwao🥴🥴🥴 mie na umalaya wapi na wapii aisee.. tuwaroge
wanaojuana humu hawagombani 😅😅Hii ilinipita Kantri alinivuruga na mapenzi yake, ndio napitia kwa umakini ss hivi
Kivumbi leooo
😂😂😂😂 nenda pole pole sasaHii ilinipita Kantri alinivuruga na mapenzi yake, ndio napitia kwa umakini ss hivi
Kivumbi leooo
Mbina hakuna mshikaki wa kuk nije kulaHakikisha unajipendaView attachment 2713932
😂😂😂😂 wewe uniblock mimi?
Makubwa hivi Unique Flower nani asiye kujua?
Wasumbue hao hao ambao hawakujui ila sio mimi ila sio mimi😂😂😂
Sio wewe ulie kuwa unalia huko pm kuwa ujibiwe uwezi rudia tena et bado unampenda 😂😂😂😂
Nikwambie kaa kimya tu fanya fyooo 😂😂
Leo kuku tunapumzikaMbina hakuna mshikaki wa kuk nije kula
Slogan yetu ileile ugali kidogo mboga nyingi 😊
Sawa naja kulaLeo kuku tunapumzika
Pacha hizi zinaongeza kitambi na kupunguza nguvu 😅😅Hakikisha unajipendaView attachment 2713932
Hii ilikuwaje mkuu
😂mimi huwa nakula chips kavu na kuku. Leo imetokea tu nimemiss mayaiPacha hizi zinaongeza kitambi na kupunguza nguvu 😅😅
kula vitu vya asili pacha, hivyo kidogo tu utakuwa unalalamika umechokaaa mala nini sijui 🥸🥸🥸😂mimi huwa nakula chips kavu na kuku. Leo imetokea tu nimemiss mayai
😂😂😂 acha liote demu anayo madogo nitampausile chipsi yai utaota nyonyo😅