Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dogo acha uchoko.. pita comment zangu kama huzioni.. huna adabu kumaninaa zako.. nikuambie bado mtoto mdogo sanaaa kwangu usione tunacheka humu, ukaona tupo na level sawa utajilaumuu.. kaa na mie mbali kama ukoma.. Nimemaliza subiri vitendo
Bro, you’re worth than that, achana na haya mambo.
Tafadhali
Depal embu mwambie alale huyu, pombe zimetosha😒
 
Dogo acha uchoko.. pita comment zangu kama huzioni.. huna adabu kumaninaa zako.. nikuambie bado mtoto mdogo sanaaa kwangu usione tunacheka humu, ukaona tupo na level sawa utajilaumuu.. kaa na mie mbali kama ukoma.. Nimemaliza subiri vitendo
Haya ndio mambo, nilishangaa mlikua mnamuogopa huyu dunya

Penseli leo kuna battle nyingi, nitakutafuta siku nyingine. Hatujamalizana
 
kitachowapata watajuta.. alafu sitanii wala nini, hapa tutaanza kula mchele tu sie.. wanaboa kuchafua wengine.. unapo zusha mtu flani kalala na mtu flani mbaya sanaa..
Huku watu wana stress, sema nini kwenye ubwabwa hapo nimepapenda😋😋

Kuna wengine wanaume wanasambaza uzushi wa wanawake pm kwa wanaume wenzao. Mapapai nayo ni shida humu ndani
 
Dogo acha uchoko.. pita comment zangu kama huzioni.. huna adabu kumaninaa zako.. nikuambie bado mtoto mdogo sanaaa kwangu usione tunacheka humu, ukaona tupo na level sawa utajilaumuu.. kaa na mie mbali kama ukoma.. Nimemaliza subiri vitendo
Matusi ya class one yanachekesha 😅😅😅😅😅.

Dislike zinakuuma sio eeeh subiria kivumbi leo 🤣🤣🤣🤣
 
hawana maaana hawaa viumbe.. walivyo wao wanafikiri wote tupo hivyooo... jumamisi twende beach mdogo wangu.. aisee.. mpe pole mama mchungaji maskini, dada watu kajinyookea wanamuungaisha kwenye matukio ya hovyo hovyo
Nilimuonea huruma

Sijui hata ni nani alileta hizo habari
Dada wa watu anashangaa tu
Akiyanani

Yaani nilicheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole shem
Ila kweli member wa jf siku hizi wanapenda umbeya na ugomvi kuliko kula🤣🤣🤣🤣

Hii ni chitchat jamani hapa ni mahali pa kupunguza stress tusigombane kwa fake ID's nyuma ya keyboard
Na wewe sitaki matani nawewe wala mazoea kuanzia leo . Usizani watu humu wapo bikra hapana watu wanaheshima zao sio wanadharaulishwa bila idhini ya mtu kosa eti mazoea
 
Haya sio mambo, ninamuogopa huyu dunya

Penseli leo kuna battle nyingi, nitakutafuta siku nyingine. Hatujamalizana
😅😅😅😅😅 Njoo mikocheni kwa warioba DC uchwara 😎😎😎.

Choko uliyechapiwa mke
 
Huku watu wana stress, sema nini kwenye ubwabwa hapo nimepapenda😋😋

Kuna wengine wanaume wanasambaza uzushi wa wanawake pm kwa wanaume wenzao. Mapapai nayo ni shida humu ndani
Mapapai ya njanoo
Yani kupitia tuu replies unaona kabisa hili linafaa kabisa kuliwa😆😆😆😆
Leo wacha yaanguliwe yaliwe bila chumvi
 
Sijali kuhusu Mjep mie najali kuhusu huyu cocastic alilogin kwa account ingine akiaanza kunitusi kisa mtu simjui kwa hiyo mie nisiwe namatani na mtu kisa mtu fulani anamtu mimi sijali Mjep wala najali heshima yangu na sina muda na mtu simjui na wala hawezi kunisaidia nilipo hapa sasa hivi so mimi sipendi kuzoewa kisa eti mtu anamtu
😃😃😃
 
Back
Top Bottom