Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilivyopata hiyo stori nikasema ah akhsante wanazidi nipaisha Saint Anne mie nilipoa
Natembelea humohumo biashara zangu ziende.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uwe unatutumia na vipicha vya keki, hasa zile za chocolate slices za 10,000 au 15,000
Hizo ndio zenyewe, delivery kila sehemu me ntakua wa kwanza
 

Kumbe na wewe umeungua
Kweli una haki ya kuloga mtu, hapa patakua padogo

Wasemehe tuu
😒😒 nitamalizana nao mmoja mmoja nje ya uringo..

wanasema nimeungua na mie nafanya kuua wengine..

Watu wakipoteza muelekeo wa maisha yao wanaanza vurugia wengine.. humu banaaa 😬😬😬😬😬..
 
Uuwiii
Shem kama shem umetoa wapi tena huyu kivuruge wangu jamanii
Nitaweka wapi sura yangu mimi wallah
Umeona sasa shem umeharibu

Amefika mwenyewe anasema moyo ulikuwa unamuenda mbio sana
 
.. dah!
Mie haijaniuma sana, imenikwaza kuwahusisha watu wengine na mie na kuna ambao sijawa hata kuwaona.. naambiwa hadi Tinsley nimekula mdogo wangu binti wa watu hakana makuu kale.. katoto ka watu hadi kameikimbia jf ..

Hahahhaha
Hadi huyo dada, ni mpole sana jaman hanaga shida na mtu, hadi kupitia comments zake anaonekana hapendi ugomvi na mtu
For her sake waloge tuu
Rogaaaa, rogaaa wote pambafuuuuu
 
Back
Top Bottom