Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,334
Napita na gwalide .......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseeee.
Leo naenda kulala vizuri kabisa
Selfika oyeeee.
Napita na gwalide .......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseeee.
Leo naenda kulala vizuri kabisa
Selfika oyeeee.
Kuna mtu tulitaniana kwenye uzi wakeIkawaje sasa?
Ukamjibuje?Kuna mtu tulitaniana kwenye uzi wake
Kidemu fulani kikanifata pm eti we na fulani Kuna nini kati yenu 😀😀😀😀 ndyo kustuka kumbe Kuna couple humu
[emoji3][emoji3]Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweli
Me nilikuwaga naingia kama guest nasoma nasepa almost 10yrs
Nikaona napitwa na mengi wacha niingie uwanjani[emoji38][emoji38][emoji38]
Aisee mbona hii ni mimi kabisa [emoji33][emoji33][emoji33]
Uwiiih mkuki kwa nguruwe [emoji51][emoji51][emoji51]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mtu tulitaniana kwenye uzi wake
Kidemu fulani kikanifata pm eti we na fulani Kuna nini kati yenu 😀😀😀😀 ndyo kustuka kumbe Kuna couple humu
Khaaa nisijetupiwa mapepo 😅😆Lakini watu wananjunjana kweli humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We km huamini jiweke kwa mtu kwa utani utaona utakavyoandamwa
Kuna mtu tulitaniana kwenye uzi wake
Kidemu fulani kikanifata pm eti we na fulani Kuna nini kati yenu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ndyo kustuka kumbe Kuna couple humu
We ulikuwa hujui auntiee. 😅😅Lakini watu wananjunjana kweli humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We km huamini jiweke kwa mtu kwa utani utaona utakavyoandamwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aseeew ntaanguka kwenye kiti mimi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mmmh nani huyo mwenye wivu mpaka kufa duuuh
Aseee kumbe hata wanawake mna njaa ya mahusiano eeeh duuh sikujuaga
Unataka wapasuke 😁😁😁😁😁😁kumbe hata hamjuaniSi umeona watu walivyo vichaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi wengine wananiuliza Kantri ni kweli DC? Unajua nachekaga na nilivyo kichaa sasa nawajibu, “Hapa niko naye kwenye V8” ebooh kuchoshana tyuuu
Khaaa nisijetupiwa mapepo [emoji28][emoji38]
Duh salama weweChinooooo ake [emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Amarula iko kichwani basi hata naelewa jinsi ya kufuta [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
🤣🤣🤣🤣 Kwa kweli.Njaa kali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakunao ndugu mjumbe[emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
Haukupigwa tukio mkuu! Ndio ukaibuka na miss jf.😀😀Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweli
Me nilikuwaga naingia kama guest nasoma nasepa almost 10yrs
Nikaona napitwa na mengi wacha niingie uwanjani😆😆😆
Mwana mpotevu uko poa? kiduku mpapasoDuh salama wewe
Wengine hatuna njaa ya chochote Mungu alitubariki mapema sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aseeew ntaanguka kwenye kiti mimi 😅😅😅😅😅😅😅
Mmmh nani huyo mwenye wivu mpaka kufa duuuh
Aseee kumbe hata wanawake mna njaa ya mahusiano eeeh duuh sikujuaga
Sema kaka unatuharibia kijiwe hapaWe ulikuwa hujui auntiee. 😅😅
Tena wakijunjana wanafungua uzi kuelezea walivyokuwa wangongwa na location zao na magonjwa waliyopata.
Kama watoto wa form 2 kumbe wamama kabisa wakunizaa. 🤣🤣🤣🤣
Mi nilikuwa nashangaa kabisa.
Duuuh alafu wanadanganyiwa kupewa mtaji wa biashara na kununuliwa bia za weeknd. 🤣🤣🤣🤣🤣
INAITWA KUPATIKANA KWA MACHANGUDOA. 😆😆😆😆😆.
SEMA NI CHEAP SANA MPUNGA WAKO UBAYA NI GRADE E