National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,199
na utelezi humpiAnanilimia😀
na utelezi humpiAnanilimia😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eeh!! Ndiwooo
Ila jf watu wananyanduana kweli ujue!!!!!!
Yule kigagula alikua anahaha anakuja kwangu anatoa ushauri nisimdate huyo mkaka mwingi sana kila dem wake humu, akitoka anamfata huyo kaka nae anampa ushauri khs mimi na kifekero chake!!
Nikamwambia wewe bana ebu acha mshawasha mie sio mke mwenzio ila ukiendelea nitafanya kweli, coz akili zangu mbili mwenzio nitamuiba ulie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseee labda weeknd wanaweza ambulia mafogo si unajua mitoko kama yote 🤭🤭🤭bora anisimulie wanavyopelekeshwa kukesha kwenye mwenge na baridi afu hawaambulii kitu
Ukome kuchatisha mabwana wa watu......Mimi humu napita humu muda wowote ninaotaka hakuna aliyeniita kujiunga jf wala anayenilipia bando!!!
Kuna demu alinichukia humu kwasababu za kingese kweli afu anakuja piem na vi id vyake fake kuniletea habari za kibaka mmoja. Nikamwambia tunataniana wala hatudate wewe relax jf hakuna bwana usijichoshe
Nilicheka sanaaa aiseee
Jf kumbe kuna watu wana mabwana zao kweli?!!
Ila shogaangu sikuwezi![]()




Ukome kuchatisha mabwana wa watu......


mabwana wa watu jf? Wanabebwa wa ndoa itakua wa jf? Na nilipanga nisimpe nataka nimpe na nimchukue jumla shubhamitSasa uyo bwana wenyewe ndala za chooni tu anaenda kukopa af unataka umchukue usije lalamika hapa kma mfaransamabwana wa watu jf? Wanabebwa wa ndoa itakua wa jf? Na nilipanga nisimpe nataka nimpe na nimchukue jumla shubhamit
😀😀Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweliMimi ndio waniachee kabisa sina habaree na mtu, niko kivyangu afu hii id ni ya muda ina 8yrs tena nilikifungua sababu ya kutaka kupooza kero za jukwaa la siasa
Ila nina kauchizi kangu ako nikikaamsha inakua mtafutano![]()
Ikawaje sasa?😀😀Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweli
Me nilikuwaga naingia kama guest nasoma nasepa almost 10yrs
Nikaona napitwa na mengi wacha niingie uwanjani😆😆😆
Kumekucha kumekucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi humu napita humu muda wowote ninaotaka hakuna aliyeniita kujiunga jf wala anayenilipia bando!!!
Kuna demu alinichukia humu kwasababu za kingese kweli afu anakuja piem na vi id vyake fake kuniletea habari za kibaka mmoja. Nikamwambia tunataniana wala hatudate wewe relax jf hakuna bwana usijichoshe
Nilicheka sanaaa aiseee
Jf kumbe kuna watu wana mabwana zao kweli?!!
Aisee mbona hii ni mimi kabisa 😱😱😱Kwa kweli wanajua kutuponda humu!!
Kuna mmoja alisema eti tulioshindikana kwenye mahusiano ndio tumejaa na sura zetu mbovu
Afu hao hao wanazama piem kuimbisha mapambio
Tatizo wanaume wa humu kwa uongo uongo na story za maisha mazuri kumbe hohehahe tu...Napenda kashikashi shogare tena humu sifaidi natamani tuwe live tudundane mpk apatikane mshindi![]()
Hio i'd yako nyingine siku kuibukia kweli pm mkuu.Mimi sikua mfatiliaji sana wa chit chat na mmu
Kuna jukwaa langu pendwa humu ndio nilikua nalo busy tena kwenye id nyingine sio hii
Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseeee.Mh kuna moja iyo imejichokeq kinoma lakin dp yake shatashata
Napita na gwalide .......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseeee.
Leo naenda kulala vizuri kabisa
Selfika oyeeee.
Kuna mtu tulitaniana kwenye uzi wakeIkawaje sasa?
Ukamjibuje?Kuna mtu tulitaniana kwenye uzi wake
Kidemu fulani kikanifata pm eti we na fulani Kuna nini kati yenu 😀😀😀😀 ndyo kustuka kumbe Kuna couple humu