Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eeh!! Ndiwooo
Ila jf watu wananyanduana kweli ujue!!!!!!

Yule kigagula alikua anahaha anakuja kwangu anatoa ushauri nisimdate huyo mkaka mwingi sana kila dem wake humu, akitoka anamfata huyo kaka nae anampa ushauri khs mimi na kifekero chake!!

Nikamwambia wewe bana ebu acha mshawasha mie sio mke mwenzio ila ukiendelea nitafanya kweli, coz akili zangu mbili mwenzio nitamuiba ulie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kumekucha kumekucha kumekucha.


Asee kumbe nami nilijua tu hawachelewi kukojolewa hao kabisa.

Akiona tu unamsantch naniliu wake wanasikia kuchanganyikiwa.

Duuh sema ni very cheap. Mpunga wako tu unawangoa.

Hawana soko hao auntiee 😱😱😱😱 pole yao
 
Mimi humu napita humu muda wowote ninaotaka hakuna aliyeniita kujiunga jf wala anayenilipia bando!!!

Kuna demu alinichukia humu kwasababu za kingese kweli afu anakuja piem na vi id vyake fake kuniletea habari za kibaka mmoja. Nikamwambia tunataniana wala hatudate wewe relax jf hakuna bwana usijichoshe

Nilicheka sanaaa aiseee
Jf kumbe kuna watu wana mabwana zao kweli?!!
Ukome kuchatisha mabwana wa watu......
 
mabwana wa watu jf? Wanabebwa wa ndoa itakua wa jf? Na nilipanga nisimpe nataka nimpe na nimchukue jumla shubhamit
Sasa uyo bwana wenyewe ndala za chooni tu anaenda kukopa af unataka umchukue usije lalamika hapa kma mfaransa
 
Mimi ndio waniachee kabisa sina habaree na mtu, niko kivyangu afu hii id ni ya muda ina 8yrs tena nilikifungua sababu ya kutaka kupooza kero za jukwaa la siasa

Ila nina kauchizi kangu ako nikikaamsha inakua mtafutano
😀😀Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweli
Me nilikuwaga naingia kama guest nasoma nasepa almost 10yrs
Nikaona napitwa na mengi wacha niingie uwanjani😆😆😆
 
😀😀Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweli
Me nilikuwaga naingia kama guest nasoma nasepa almost 10yrs
Nikaona napitwa na mengi wacha niingie uwanjani😆😆😆
Ikawaje sasa?
 
Mimi humu napita humu muda wowote ninaotaka hakuna aliyeniita kujiunga jf wala anayenilipia bando!!!

Kuna demu alinichukia humu kwasababu za kingese kweli afu anakuja piem na vi id vyake fake kuniletea habari za kibaka mmoja. Nikamwambia tunataniana wala hatudate wewe relax jf hakuna bwana usijichoshe

Nilicheka sanaaa aiseee
Jf kumbe kuna watu wana mabwana zao kweli?!!
Kumekucha kumekucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Aseee auntiee nakufuata pm saivi unipe mkasa wote

Hee mbona hukuniambia mi nilijua tu ile naniliiu yenu isingeisha salama.

Sasa hapo mlikuwa hamna hata mwezi mngetimiza mwaka sijui ingekuwaje.



🐗🐗🐗🐗🐗🦣🦣🦣
 
Kwa kweli wanajua kutuponda humu!!
Kuna mmoja alisema eti tulioshindikana kwenye mahusiano ndio tumejaa na sura zetu mbovu

Afu hao hao wanazama piem kuimbisha mapambio
Aisee mbona hii ni mimi kabisa 😱😱😱

Uwiiih mkuki kwa nguruwe 😬😬😬
 
Mimi sikua mfatiliaji sana wa chit chat na mmu

Kuna jukwaa langu pendwa humu ndio nilikua nalo busy tena kwenye id nyingine sio hii

Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana
Hio i'd yako nyingine siku kuibukia kweli pm mkuu.
 
Back
Top Bottom