Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,220
Wapi udugu story za kuambiwa tuu mtu anashaukwa anakutungia maneno unabaki kushangaa tu!Mimi nakwambia watukane ooh! Bora wote muonekane vichaa kwan kuna anayekujua?!!
Wapi udugu story za kuambiwa tuu mtu anashaukwa anakutungia maneno unabaki kushangaa tu!Mimi nakwambia watukane ooh! Bora wote muonekane vichaa kwan kuna anayekujua?!!
Hahahahahah eti visa vya walimu,Tabia za ajabu kweli, mimi sina bwana humu na wala sihitaji Kendrick huku uraiani ananitoshaaa sanaa
Wa jf wapambane nao wenyewe, nikikosa sana bwana bora nikamdate Mpwayungu mara mia atanichekesha visa vya walimu
SitokiTulia hapohapo kaka yangu Mjep
Hahahaaa!Hahahahahah eti visa vya walimu,
Walimu tunashambuliwa kweliHahahaaa!
Namie Nimecheka sana avosema visa vya walimu
Acha kabisa mr vocha !!Hebu watuache walimu asee!!🤠😁😁Walimu tunashambuliwa kweli
Yaani no stressHahahaaa!
Namie Nimecheka sana avosema visa vya walimu

Wapi udugu story za kuambiwa tuu mtu anashaukwa anakutungia maneno unabaki kushangaa tu!



Hahahahahah eti visa vya walimu,


bora anisimulie wanavyopelekeshwa kukesha kwenye mwenge na baridi afu hawaambulii kituBasi tu ili kujikweza kupitia majina ya watu!!Basi ni kichaa huyo!!! Unamtungiaje story mtu usiyemjua?!!![]()
Mimi nimeshamkiss boss inatoshaa🤣kiss me ms. bantu😂
Mdogo wangu mshamba_hachekwi naomba ufute hii uliyoniquote ili tuipoteze hii pic please 😍kiss me ms. bantu😂
Wapi udugu story za kuambiwa tuu mtu anashaukwa anakutungia maneno unabaki kushangaa tu!



Tuifute hii kaka ili pic ifutike naona yatizo linaendelea kaka 😍I kiss you😘
Walimu tunashambuliwa kweli



Now you knowNilikua sijuiii!!!!!
Basi tu ili kujikweza kupitia majina ya watu!!
Wanaona bila kutumia majina ya watu hawatazingatiwa Sijui !!



Mimi ni black mamba 🤣🤣Wadada wa selfika wote weupe
Na weusi waje jomooooni tuwaone walivyo warembo
Bantu uko vyedi sanaaaa![]()