kweli nlikua sijui, naacha kuanzia leoπHakuna unajiendekeza
Km yule dr alivyokomalia pic ya Ms eyes afu anajibu kwa kujiamini sio shida zake kabisaaa
Yani kuna watu wanakwaza humu jamani
Unatuachaje sasa boss lady?Mrare unonooo wapendwa Kesho nayo ni siku!!π΄π€π΄π€π΄π€π€π€π€π€π€π€π΄π΄π΄π΄!!
Alinikwaza, kumbe hata na wewe uliona ee?Hakuna unajiendekeza
Km yule dr alivyokomalia pic ya Ms eyes afu anajibu kwa kujiamini sio shida zake kabisaaa
Yani kuna watu wanakwaza humu jamani
nimefuta kitambo,Kaka Mjep na mshamba_hachekwi please mfute qoute mlivyoquote picha πππ
Nimeshafuta samahaniTuifute hii kaka ili pic ifutike naona yatizo linaendelea kaka π
Nimefuta sikujua kuwa niki quote inabakiKaka Mjep na mshamba_hachekwi please mfute qoute mlivyoquote picha πππ
Hii Ina ukweli hahahahhah ukiwakuta wamekaa staff story ni hizo,![]()



Watruu na nyotraa zeitruuuu za bundiii!!


Nyota kali ndiomana wanaitakaMwehh sina mpyaa mr vocha!!Unatuachaje sasa boss lady?
Dah kweli walisema kua uyaoneπ€£πUkiweka nami naweka π¬
Fanya namna boss ladyMwehh sina mpyaa mr vocha!!
Bro sijawahi sema natakaa mtuπ€, I focus on my own map.Acha kujifanya mpambanaji kijana maduu hawataki mbwembwe! wanaokula hawa mademu humu ni wenye nazo! Nyie mtaishia kujaza seva tu!
Alinikwaza, kumbe hata na wewe uliona ee?



Wa shule ya msingi wengi ndio walevi udugu japo sio wote ila majority ni walevi hasa wa kiume wazee wazee!!Umeona? Wakibadilisha story bas kuwadiss wadada wao wa kazi
Afu ukiangalia hao wanaume zao sasa?! Wengi walevi
Itabidi nikupe tecno ya Chino tu uniachie macho matatu hayoKaka Mjep na mshamba_hachekwi please mfute qoute mlivyoquote picha πππ
Kugombana kwenye a crowd of people ni lazima, kwasababu kila mtu ana tabia yake. Kinachotakiwa ni kupotezea tu for real.Niliona dia afu mbishi hataki kuelewa kabisaa na ana hoja zake anazitetea
Humu ndani kazi ipo, unaweza kugombana na mtu bila kutarajia
Wa shule ya msingi wengi ndio walevi udugu japo sio wote ila majority ni walevi hasa wa kiume wazee wazee!!



kuna mmoja alikua anajikojolea yani walimu km wamerogwaSasa mimi wakati wanagawa sijui nilikuwa wapi au kwasababu nmechanganyika