Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,543
- 8,818
Itabidi nikupe tecno ya Chino tu uniachie macho matatu hayoKaka Mjep na mshamba_hachekwi please mfute qoute mlivyoquote picha 🙏🙏🙏
Nimechoka kuelekeza
Itabidi nikupe tecno ya Chino tu uniachie macho matatu hayoKaka Mjep na mshamba_hachekwi please mfute qoute mlivyoquote picha 🙏🙏🙏
Kugombana kwenye a crowd of people ni lazima, kwasababu kila mtu ana tabia yake. Kinachotakiwa ni kupotezea tu for real.Niliona dia afu mbishi hataki kuelewa kabisaa na ana hoja zake anazitetea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Humu ndani kazi ipo, unaweza kugombana na mtu bila kutarajia
Wa shule ya msingi wengi ndio walevi udugu japo sio wote ila majority ni walevi hasa wa kiume wazee wazee!!
Sasa mimi wakati wanagawa sijui nilikuwa wapi au kwasababu nmechanganyika
kweli nlikua sijui, naacha kuanzia leo[emoji28]
mshamba hagombezwi jamani
Chinooooo ake 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣🤣 Amarula iko kichwani basi hata naelewa jinsi ya kufuta 😅😅😅😅😅Itabidi nikupe tecno ya Chino tu uniachie macho matatu hayo
Nimechoka kuelekeza
Hahahhaahahahahhaha looooh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mmoja alikua anajikojolea yani walimu km wamerogwa
Kula vyombo tu mbantu!! SEMA Njiwa wangu amekuja mjini hata hujanidakia;; nimbabie kwenye ampiano mpaka karudi nyikibooo ukoChinooooo ake 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣🤣 Amarula iko kichwani basi hata naelewa jinsi ya kufuta 😅😅😅😅😅
🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Kula vyombo tu mbantu!! SEMA Njiwa wangu amekuja mjini hata hujanidakia;; nimbabie kwenye ampiano mpaka karudi nyikibooo uko
Ona anavyotoka nduki Bantu Lady🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. 😁😁😁😁.Kweli?!! Mimi siamini bado.
Unatumia vigezo gani kuzijua pisi mbovu? Cha ukorofi umenishinda
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]. Vepee kwani bado huamini
Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.
Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko ww [emoji38][emoji38] how comes? [emoji848]
Ok sawasawa kumbe tuna tabia zinazofanana hata mimi mtu akinikwaza hua naangalia natumia id gani nisije nikaharibu CV.Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh nilisema mimi jf sahv tupo na watotoKuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. 😁😁😁😁.
We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.
😎😎😎😎. Vepee kwani bado huamini
Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.
Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko ww 😆😆 how comes? 🤔
We mwenyewe mtoto tu si umezaliwa 98 hapo juzi tuDuh nilisema mimi jf sahv tupo na watoto
🙌 I rest the case
Ila shogaangu sikuwezi 😅😅😅😅Mimi sikua mfatiliaji sana wa chit chat na mmu
Kuna jukwaa langu pendwa humu ndio nilikua nalo busy tena kwenye id nyingine sio hii
Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana 98 tayari nipo schoolWe mwenyewe mtoto tu si umezaliwa 98 hapo juzi tu