Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

D3903ADD-E950-4FFF-AE5D-A1D7F6F55528.jpeg
 
Kula vyombo tu mbantu!! SEMA Njiwa wangu amekuja mjini hata hujanidakia;; nimbabie kwenye ampiano mpaka karudi nyikibooo uko
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
 
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Ona anavyotoka nduki Bantu Lady

Aki umenikumbusha siku ile frester ilivyokua ikichanja mbuga
 
Kweli?!! Mimi siamini bado.
Unatumia vigezo gani kuzijua pisi mbovu? Cha ukorofi umenishinda
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. 😁😁😁😁.

We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.

😎😎😎😎. Vepee kwani bado huamini

Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.

Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko ww 😆😆 how comes? 🤔
 
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]. Vepee kwani bado huamini

Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.

Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko ww [emoji38][emoji38] how comes? [emoji848]

Mimi sikua mfatiliaji sana wa chit chat na mmu

Kuna jukwaa langu pendwa humu ndio nilikua nalo busy tena kwenye id nyingine sio hii

Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ok sawasawa kumbe tuna tabia zinazofanana hata mimi mtu akinikwaza hua naangalia natumia id gani nisije nikaharibu CV.

Kama ni cha wote hapo sawa ila zile za heshima naachana nazo kabisa. 😎😎

Auntiee una komwe zuri lakini hongera 🫣🙈🙈🙈
 
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. 😁😁😁😁.

We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.

😎😎😎😎. Vepee kwani bado huamini

Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.

Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko ww 😆😆 how comes? 🤔
Duh nilisema mimi jf sahv tupo na watoto

🙌 I rest the case
 
Back
Top Bottom