YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
🙄🙄🙄 Eeeh hivyo we ni mmama sio duuh. Hii hatari asee.Hapana 98 tayari nipo school
Nilikuwa na mpango wa kukutupia ndoano 😁😁😁 nimeghairi.
Ok shkamoo auntie 😃😃
🙄🙄🙄 Eeeh hivyo we ni mmama sio duuh. Hii hatari asee.Hapana 98 tayari nipo school
Aisee 💯💯💯💯💯.Khakhakhaaaa.. Nacheka kama mazuri uduguuu!!
Humu sijui ndio gia hio mtu akimdondokea mwanaume lazima akandie mwanamke mwenzieee hawawezagi kupambana naharee zao kabisa kutokujiamini tu!!
Marahaba dogo🙄🙄🙄 Eeeh hivyo we ni mmama sio duuh. Hii hatari asee.
Nilikuwa na mpango wa kukutupia ndoano 😁😁😁 nimeghairi.
Ok shkamoo auntie 😃😃
😅😅😅 nilikuwa huko kijijini na mitomboIla twende turudi nyuma mnywani Unajua wewe Ni mnoma. Oyaaa miaka iyo National Anthem ulikua wapi mpaka mtoto akatekwa
na utelezi humpiAnanilimia😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eeh!! Ndiwooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila jf watu wananyanduana kweli ujue!!!!!!
Yule kigagula alikua anahaha anakuja kwangu anatoa ushauri nisimdate huyo mkaka mwingi sana kila dem wake humu, akitoka anamfata huyo kaka nae anampa ushauri khs mimi na kifekero chake!!
Nikamwambia wewe bana ebu acha mshawasha mie sio mke mwenzio ila ukiendelea nitafanya kweli, coz akili zangu mbili mwenzio nitamuiba ulie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseee labda weeknd wanaweza ambulia mafogo si unajua mitoko kama yote 🤭🤭🤭[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bora anisimulie wanavyopelekeshwa kukesha kwenye mwenge na baridi afu hawaambulii kitu
Ukome kuchatisha mabwana wa watu......Mimi humu napita humu muda wowote ninaotaka hakuna aliyeniita kujiunga jf wala anayenilipia bando!!!
Kuna demu alinichukia humu kwasababu za kingese kweli afu anakuja piem na vi id vyake fake kuniletea habari za kibaka mmoja. Nikamwambia tunataniana wala hatudate wewe relax jf hakuna bwana usijichoshe
Nilicheka sanaaa aiseee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jf kumbe kuna watu wana mabwana zao kweli?!!
Ila shogaangu sikuwezi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ukome kuchatisha mabwana wa watu......
Sasa uyo bwana wenyewe ndala za chooni tu anaenda kukopa af unataka umchukue usije lalamika hapa kma mfaransa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mabwana wa watu jf? Wanabebwa wa ndoa itakua wa jf? Na nilipanga nisimpe nataka nimpe na nimchukue jumla shubhamit
😀😀Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweliMimi ndio waniachee kabisa sina habaree na mtu, niko kivyangu afu hii id ni ya muda ina 8yrs tena nilikifungua sababu ya kutaka kupooza kero za jukwaa la siasa
Ila nina kauchizi kangu ako nikikaamsha inakua mtafutano [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ikawaje sasa?😀😀Kuna watu hz story wanazichukulia serious kabisa wanajua kweli
Me nilikuwaga naingia kama guest nasoma nasepa almost 10yrs
Nikaona napitwa na mengi wacha niingie uwanjani😆😆😆
Kumekucha kumekucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi humu napita humu muda wowote ninaotaka hakuna aliyeniita kujiunga jf wala anayenilipia bando!!!
Kuna demu alinichukia humu kwasababu za kingese kweli afu anakuja piem na vi id vyake fake kuniletea habari za kibaka mmoja. Nikamwambia tunataniana wala hatudate wewe relax jf hakuna bwana usijichoshe
Nilicheka sanaaa aiseee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jf kumbe kuna watu wana mabwana zao kweli?!!
Aisee mbona hii ni mimi kabisa 😱😱😱Kwa kweli wanajua kutuponda humu!!
Kuna mmoja alisema eti tulioshindikana kwenye mahusiano ndio tumejaa na sura zetu mbovu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu hao hao wanazama piem kuimbisha mapambio
Tatizo wanaume wa humu kwa uongo uongo na story za maisha mazuri kumbe hohehahe tu...Napenda kashikashi shogare tena humu sifaidi natamani tuwe live tudundane mpk apatikane mshindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hio i'd yako nyingine siku kuibukia kweli pm mkuu.Mimi sikua mfatiliaji sana wa chit chat na mmu
Kuna jukwaa langu pendwa humu ndio nilikua nalo busy tena kwenye id nyingine sio hii
Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseeee.Mh kuna moja iyo imejichokeq kinoma lakin dp yake shatashata