YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
kweli nlikua sijui, naacha kuanzia leo
mshamba hagombezwi jamani
Tumekusamehe



kweli nlikua sijui, naacha kuanzia leo
mshamba hagombezwi jamani



Chinooooo ake 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣🤣 Amarula iko kichwani basi hata naelewa jinsi ya kufuta 😅😅😅😅😅Itabidi nikupe tecno ya Chino tu uniachie macho matatu hayo
Nimechoka kuelekeza
Hahahhaahahahahhaha loooohkuna mmoja alikua anajikojolea yani walimu km wamerogwa
Kula vyombo tu mbantu!! SEMA Njiwa wangu amekuja mjini hata hujanidakia;; nimbabie kwenye ampiano mpaka karudi nyikibooo ukoChinooooo ake 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣🤣 Amarula iko kichwani basi hata naelewa jinsi ya kufuta 😅😅😅😅😅
🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Kula vyombo tu mbantu!! SEMA Njiwa wangu amekuja mjini hata hujanidakia;; nimbabie kwenye ampiano mpaka karudi nyikibooo uko
Ona anavyotoka nduki Bantu Lady🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. 😁😁😁😁.Kweli?!! Mimi siamini bado.
Unatumia vigezo gani kuzijua pisi mbovu? Cha ukorofi umenishinda
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao..
We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.
. Vepee kwani bado huamini
Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.
Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko wwhow comes?
![]()



Ok sawasawa kumbe tuna tabia zinazofanana hata mimi mtu akinikwaza hua naangalia natumia id gani nisije nikaharibu CV.Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana![]()
Duh nilisema mimi jf sahv tupo na watotoKuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. 😁😁😁😁.
We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.
😎😎😎😎. Vepee kwani bado huamini
Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.
Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko ww 😆😆 how comes? 🤔
We mwenyewe mtoto tu si umezaliwa 98 hapo juzi tuDuh nilisema mimi jf sahv tupo na watoto
🙌 I rest the case
Ila shogaangu sikuwezi 😅😅😅😅Mimi sikua mfatiliaji sana wa chit chat na mmu
Kuna jukwaa langu pendwa humu ndio nilikua nalo busy tena kwenye id nyingine sio hii
Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana![]()
Hapana 98 tayari nipo schoolWe mwenyewe mtoto tu si umezaliwa 98 hapo juzi tu
🙄🙄🙄 Eeeh hivyo we ni mmama sio duuh. Hii hatari asee.Hapana 98 tayari nipo school
Aisee 💯💯💯💯💯.Khakhakhaaaa.. Nacheka kama mazuri uduguuu!!
Humu sijui ndio gia hio mtu akimdondokea mwanaume lazima akandie mwanamke mwenzieee hawawezagi kupambana naharee zao kabisa kutokujiamini tu!!
Marahaba dogo🙄🙄🙄 Eeeh hivyo we ni mmama sio duuh. Hii hatari asee.
Nilikuwa na mpango wa kukutupia ndoano 😁😁😁 nimeghairi.
Ok shkamoo auntie 😃😃
😅😅😅 nilikuwa huko kijijini na mitomboIla twende turudi nyuma mnywani Unajua wewe Ni mnoma. Oyaaa miaka iyo National Anthem ulikua wapi mpaka mtoto akatekwa