Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,334
Ndio ngoja niangalie kama ajafuta nikutahKwani ameselfika mkuu?
Ndio ngoja niangalie kama ajafuta nikutahKwani ameselfika mkuu?
Uzuri upo kwa mtu mwenyewe, unapoanza kukosoa kitu halafu hukichangii chochote Hilo ni janga[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
ushachelewa vocha ziliingia😂Nimefikaa mkuu, Kuna nini Tena??
Mjep kafutaHello weekend 😍
Ahhh umeanza ukichaa 🤣😂😂, nani kakudiss Tena🤣😂😂Kumekucha!!!! Ebu njoo unisaidie kuchambua piem mwanasheria wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dahh Ina Uma Sana😂🤣, sema sio mbaya Leo nime pata vocha za 5000😂🤣😂😂ushachelewa vocha ziliingia😂
Ahhh umeanza ukichaa [emoji1787][emoji23][emoji23], nani kakudiss Tena[emoji1787][emoji23][emoji23]
Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno humu yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
Yaani,wanatafuta Kiki kupitia kuwasema hovyo wanawake.Vijana vinapenda kiki tu !
Mental Kama mento🤣😂😂😂, dishi la kutu🤣😂😂😂Hakuna wa kunidiss na huo muda wa kuwafatilia ninao sasa?!! Mimi niko na furaha zangu muda wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
dah, na umegoma kabisa kuselfika😅nime pata vocha za 5000
hebu mwambie Intelligent businessman aselfike tumuone😂Hakuna wa kunidiss na huo muda wa kuwafatilia ninao sasa?!! Mimi niko na furaha zangu muda wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah aliye kudiss alijichanganya🤣😂, we una mdiss kichaa🤣😂😂Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
mshamba_hachekwi shida una penda sabuni🤣😂, ningekupa mbinu za ku approach🤣😂😂
Dogo mbona huni pumzishi🤣😂😂hebu mwambie Intelligent businessman aselfike tumuone😂
Kukikosa kujiamini haki unaweza usipite humu.Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
mke wa mtu, mme wake ashanipa vitisho vya kutosha😅mshamba_hachekwi shida una penda sabuni🤣😂, ningekupa mbinu za ku approach🤣😂😂
Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!
hebu mwambie Intelligent businessman aselfike tumuone[emoji23]