Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Humu hizi flirting kuna pipo zinachukulia siriaz dear!! usishangae Siku ya siku kusikia la kukuhusu kuhusu hizihizi flirting
Yani watu hawapendiii na hawafurahii kuona marafiki wakifurahi na kucheka humu!ii

Mimi ndio waniachee kabisa sina habaree na mtu, niko kivyangu afu hii id ni ya muda ina 8yrs tena nilikifungua sababu ya kutaka kupooza kero za jukwaa la siasa

Ila nina kauchizi kangu ako nikikaamsha inakua mtafutano
 
Nimeona udugu hii id umebadili

Ungeiacha ungekua unawatukana kwa raha zako wanaokufatilia kikubwa bando na muda uwepo tyuuuu
Nimebadili username tu uduguuu sio id afu kumbe watu wanapenda majinaa ya watuuu wanapenda kusafiria majinaaaa!! Nivobadili tu ile ikaibiwa🤠😁!!
 
Mimi ndio waniachee kabisa sina habaree na mtu, niko kivyangu afu hii id ni ya muda ina 8yrs tena nilikifungua sababu ya kutaka kupooza kero za jukwaa la siasa

Ila nina kauchizi kangu ako nikikaamsha inakua mtafutano
Bora wee una kichaa chako udugu Mie mpoleee kuna myda wananipanda hadi kichwani lol!
 
Hahahahahah alijua mke mwenza.

Eeh!! Ndiwooo
Ila jf watu wananyanduana kweli ujue!!!!!!

Yule kigagula alikua anahaha anakuja kwangu anatoa ushauri nisimdate huyo mkaka mwingi sana kila dem wake humu, akitoka anamfata huyo kaka nae anampa ushauri khs mimi na kifekero chake!!

Nikamwambia wewe bana ebu acha mshawasha mie sio mke mwenzio ila ukiendelea nitafanya kweli, coz akili zangu mbili mwenzio nitamuiba ulie
 
Eeh!! Ndiwooo
Ila jf watu wananyanduana kweli ujue!!!!!!

Yule kigagula alikua anahaha anakuja kwangu anatoa ushauri nisimdate huyo mkaka mwingi sana kila dem wake humu, akitoka anamfata huyo kaka nae anampa ushauri khs mimi na kifekero chake!!

Nikamwambia wewe bana ebu acha mshawasha mie sio mke mwenzio ila ukiendelea nitafanya kweli, coz akili zangu mbili mwenzio nitamuiba ulie
Khakhakhaaaa.. Nacheka kama mazuri uduguuu!!
Humu sijui ndio gia hio mtu akimdondokea mwanaume lazima akandie mwanamke mwenzieee hawawezagi kupambana naharee zao kabisa kutokujiamini tu!!
 
Khakhakhaaaa.. Nacheka kama mazuri uduguuu!!
Humu sijui ndio gia hio mtu akimdondokea mwanaume lazima akandie mwanamke mwenzieee hawawezagi kupambana naharee zao kabisa kutokujiamini tu!!

Tabia za ajabu kweli, mimi sina bwana humu na wala sihitaji Kendrick huku uraiani ananitoshaaa sanaa

Wa jf wapambane nao wenyewe, nikikosa sana bwana bora nikamdate Mpwayungu mara mia atanichekesha visa vya walimu
 
Watu wanateseka sio kidogo uduguuu!! Yani maisha ya mtu asiewahusu hata robo ila wanateseka vibaya sana...Kila leo wanawaza la kukuzushia humu ili tu uonekane hovyo !! Wanapata tabu sana kiukweli!

Mimi nakwambia watukane ooh! Bora wote muonekane vichaa kwan kuna anayekujua?!!
 
Nyota yako nzuri ndiomana unaandamwa udugu, ingekua imefifia usingekua unatajwa kila muda
Mie humu nadisiwa Long time kitrambooo udugu mwenyewe sasa nilivo na roho ya kikurya!!🤣🤣🤠🤠!! Walaa siteterekii!!
Tena nivokuja selfika navosemwa ndio usiseme sasa!

Nacheka kama mazuri vilee!
 
Eeh!! Ndiwooo
Ila jf watu wananyanduana kweli ujue!!!!!!

Yule kigagula alikua anahaha anakuja kwangu anatoa ushauri nisimdate huyo mkaka mwingi sana kila dem wake humu, akitoka anamfata huyo kaka nae anampa ushauri khs mimi na kifekero chake!!

Nikamwambia wewe bana ebu acha mshawasha mie sio mke mwenzio ila ukiendelea nitafanya kweli, coz akili zangu mbili mwenzio nitamuiba ulie
Hahahhahaha jamani,
 
Back
Top Bottom