Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wanateseka sio kidogo uduguuu!! Yani maisha ya mtu asiewahusu hata robo ila wanateseka vibaya sana...Kila leo wanawaza la kukuzushia humu ili tu uonekane hovyo !! Wanapata tabu sana kiukweli!

Mimi nakwambia watukane ooh! Bora wote muonekane vichaa kwan kuna anayekujua?!!
 
Nyota yako nzuri ndiomana unaandamwa udugu, ingekua imefifia usingekua unatajwa kila muda
Mie humu nadisiwa Long time kitrambooo udugu mwenyewe sasa nilivo na roho ya kikurya!!🤣🤣🤠🤠!! Walaa siteterekii!!
Tena nivokuja selfika navosemwa ndio usiseme sasa!

Nacheka kama mazuri vilee!
 
Eeh!! Ndiwooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila jf watu wananyanduana kweli ujue!!!!!!

Yule kigagula alikua anahaha anakuja kwangu anatoa ushauri nisimdate huyo mkaka mwingi sana kila dem wake humu, akitoka anamfata huyo kaka nae anampa ushauri khs mimi na kifekero chake!!

Nikamwambia wewe bana ebu acha mshawasha mie sio mke mwenzio ila ukiendelea nitafanya kweli, coz akili zangu mbili mwenzio nitamuiba ulie
Hahahhahaha jamani,
 
Tabia za ajabu kweli, mimi sina bwana humu na wala sihitaji Kendrick huku uraiani ananitoshaaa sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wa jf wapambane nao wenyewe, nikikosa sana bwana bora nikamdate Mpwayungu mara mia atanichekesha visa vya walimu
Hahahahahah eti visa vya walimu,
 
Wapi udugu story za kuambiwa tuu mtu anashaukwa anakutungia maneno unabaki kushangaa tu!

Kweli udugu hakuna watu wanachanganyikiwa na ndoa km walimu. Walimu ukiwakuta story zao Mr kafanya hivi, Mr kafanya vile

Mimi nawashauri wanaume wanaotaka mitaji wadate walimu, wanaenda kuombewa mikopo buree kazi yake ni kumbebisha nitakuoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom