Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aunti kwani hujawahi kuna na wale sura za ng'ombe [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Wana kazi ya kulazimisha wanaume wawafuate pm. Jf kuna wabovu ww ohoo.

We hujui tu yaani hee acha nikae kimya we Endelaa kujidanganya hivyo hivyo kwamba wabovu hawapo utashangaa na nafsi yako.


Hata mi niianzisha thread ya kuponda ujue nalenga baadhi ya watu na najua wanapita huku kimya kimya kama hawaoni vile ila wanajijua


Ila jf kuna madem wabovu bana wee na huwezi fikiria sasa

Kweli?!! Mimi siamini bado.
Unatumia vigezo gani kuzijua pisi mbovu? Cha ukorofi umenishinda
 
Maneno ya mkosaji,wanatapa.

Kwa kweli wanajua kutuponda humu!!
Kuna mmoja alisema eti tulioshindikana kwenye mahusiano ndio tumejaa na sura zetu mbovu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Afu hao hao wanazama piem kuimbisha mapambio
 
Kwa kweli wanajua kutuponda humu!!
Kuna mmoja alisema eti tulioshindikana kwenye mahusiano ndio tumejaa na sura zetu mbovu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Afu hao wanazama piem kuimbisha mapambio
Hawaishiwi kuwasema wanawake,hasa tuvijana tudogo.
 
Back
Top Bottom