YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
🤣🤣 Nimepitwa hapo ila sio mbaya nina GB za kutosha mbona.
🤣🤣 Nimepitwa hapo ila sio mbaya nina GB za kutosha mbona.
Asante love sema yako imenipita ila nimesoma ni 🔥🔥🔥🔥😍😍😍😍Wadada wa selfika wote weupe
Na weusi waje jomooooni tuwaone walivyo warembo
Bantu uko vyedi sanaaaa![]()
UmeshindikanaChino asante 😍😍😍
Shem kama shemShem vocha nazitamani hizi hujui tu![]()
Pole sana mdogo wanguMjep mie sioni![]()
Kidotiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😄Estugo wanguView attachment 2697216
Mpaka umekuja kuonana na a lady from JF ume move heaven and earth,, ni shughuli kinoma



Ko ulijua rahisi tu!!!!AlamaKidotiiii![]()
Asante love sema yako imenipita ila nimesoma ni![]()



Au kijipu 😌Alama
Shem kama shem
Bahati yako mbaya leo



Hii nimeiwahi😍😍😍
Na dimpoz juuuuu duuuh aiseeeee 🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoja nikaoge maji ya bahari kwanza


Uko baharini utaibuka na jini, we tulia msg yako tutaipa uzito itakua ya kwanza kuifunguaOohNa dimpoz juuuuu duuuh aiseeeee![]()
Wewe bado sana ungechoka kama ungeeendelq na mfarasa wak yule![]()



kumekuchaaaaaYaani ni vituz juu ya gadem vituz u know 🔥🔥🔥🔥😄
Ahahahahkumekuchaaaaa
Ko unanishauri niendelee kuwa single?!!
Aunti kwani hujawahi kuna na wale sura za ng'ombe.
Wana kazi ya kulazimisha wanaume wawafuate pm. Jf kuna wabovu ww ohoo.
We hujui tu yaani hee acha nikae kimya we Endelaa kujidanganya hivyo hivyo kwamba wabovu hawapo utashangaa na nafsi yako.
Hata mi niianzisha thread ya kuponda ujue nalenga baadhi ya watu na najua wanapita huku kimya kimya kama hawaoni vile ila wanajijua
Ila jf kuna madem wabovu bana wee na huwezi fikiria sasa