Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,165
- 95,926
Ahhh umeanza ukichaa 🤣😂😂, nani kakudiss Tena🤣😂😂Kumekucha!!!! Ebu njoo unisaidie kuchambua piem mwanasheria wangu![]()
Ahhh umeanza ukichaa 🤣😂😂, nani kakudiss Tena🤣😂😂Kumekucha!!!! Ebu njoo unisaidie kuchambua piem mwanasheria wangu![]()
Dahh Ina Uma Sana😂🤣, sema sio mbaya Leo nime pata vocha za 5000😂🤣😂😂ushachelewa vocha ziliingia😂
Ahhh umeanza ukichaa, nani kakudiss Tena
![]()



Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno humu yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
Yaani,wanatafuta Kiki kupitia kuwasema hovyo wanawake.Vijana vinapenda kiki tu !
Mental Kama mento🤣😂😂😂, dishi la kutu🤣😂😂😂Hakuna wa kunidiss na huo muda wa kuwafatilia ninao sasa?!! Mimi niko na furaha zangu muda wote![]()
Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
dah, na umegoma kabisa kuselfika😅nime pata vocha za 5000
hebu mwambie Intelligent businessman aselfike tumuone😂Hakuna wa kunidiss na huo muda wa kuwafatilia ninao sasa?!! Mimi niko na furaha zangu muda wote![]()
Dah aliye kudiss alijichanganya🤣😂, we una mdiss kichaa🤣😂😂Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
mshamba_hachekwi shida una penda sabuni🤣😂, ningekupa mbinu za ku approach🤣😂😂
Dogo mbona huni pumzishi🤣😂😂hebu mwambie Intelligent businessman aselfike tumuone😂
Kukikosa kujiamini haki unaweza usipite humu.Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu
Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
mke wa mtu, mme wake ashanipa vitisho vya kutosha😅mshamba_hachekwi shida una penda sabuni🤣😂, ningekupa mbinu za ku approach🤣😂😂
Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!
Na kwanini uogope, wakati tuna fuga mijusi wa maziwa😂🤣🤣😂mke wa mtu, mme wake ashanipa vitisho vya kutosha😅
Camera Ina andika no signal, halafu unasikia low battery shut down😂🤣Sura inaogopa camera![]()
HahahahahahaNi kuwapuuza tu!! Mimi siwabebi kwa kweli tena nikichafukwa nakutukana nikipewa ban fresh tu, sio shida zangu
Sasa hapa walau nivobadili hii username kidogo napumua! Nikisema nirudie ile ya zamani Alooooooohh 🤠🤠🤠🤣🤣!Ni kuwapuuza tu!! Mimi siwabebi kwa kweli tena nikichafukwa nakutukana nikipewa ban fresh tu, sio shida zangu