Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu

Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno humu yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!
 
Wakwendreee zao sio shida zetu, kila mtu kaumbwa kwa mfano wa Mungu

Hivi kuna mtu aliyekua anapondwa km mimi humu?!! Kuna raia zinakuaga na sonona
Weeeeh weeeeehh!! Mimi ndio usiseme kabisa Udugu yanii kama maneno yangekua yanatoboa mwilii hahahaaa!! Muda mwingine Huwa nachekaga tu!
 
Ni kuwapuuza tu!! Mimi siwabebi kwa kweli tena nikichafukwa nakutukana nikipewa ban fresh tu, sio shida zangu
Sasa hapa walau nivobadili hii username kidogo napumua! Nikisema nirudie ile ya zamani Alooooooohh 🤠🤠🤠🤣🤣!

Nacheka kama mazuri vilee!!😊😊😊!!
 
Back
Top Bottom