Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Mjep jamaniTuselfike wadau
Mjep jamaniTuselfike wadau
Si ndio mkuu unaweza ukauwasha moto ukasema kwa jinsi nimekichafua baada ya wiki nitaambiwa 'baby sizioni siku zangu' 😅 kitu bilabila mrembo bado anadunda mjiniwanataka hata ukipambania namna gan hutoboi yaani
😅😅😅😅😅 hayaTena bibi haswaa sio watoto wa buku mbili
Niliikosa ile😂
tutamalizwa maji bure asee, kila siku kujaza sehemu ambazo hazijai loohSi ndio mkuu unaweza ukauwasha moto ukasema kwa jinsi nimekichafua baada ya wiki nitaambiwa 'baby sizioni siku zangu'kitu bilabila mrembo bado anadunda mjini


Nipooo ankooo akeeee mambo ya weekend !!Auntiee mzuri 🖐️🖐️🖐️🖐️ umeona ki chiwawa hicho kimeamua kutulia baada ya usumbufu wa siku nzima.
Hapo kimetoka kuoga 😁😁😁😁
View attachment 2697092
Anko Nakaombaaa hakooo kazuriiii!!Auntiee mzuri 🖐️🖐️🖐️🖐️ umeona ki chiwawa hicho kimeamua kutulia baada ya usumbufu wa siku nzima.
Hapo kimetoka kuoga 😁😁😁😁
View attachment 2697092
Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako ankoo!!Mara yangu ya mwisho kuenda ilikuwa ni tarehe 15/5/2022
A level sijawahi kukanyaga tena 🤣🤣
Huna ubibi wowote binti namba E unatafunika hadi mifupa!Tena bibi haswaa sio watoto wa buku mbili
Miss you more ile shughuli ipo 3/4 done hiyo robo ntaimalizia usiku.Nipooo ankooo akeeee mambo ya weekend !!
Miss youuuu ankoli anguuu !!
Nina somaga bible lakini auntiee 😊.Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako ankoo!!
🤔 kheHuna ubibi wowote binti namba E unatafunika hadi mifupa!
ana umri ganiAuntiee mzuri 🖐️🖐️🖐️🖐️ umeona ki chiwawa hicho kimeamua kutulia baada ya usumbufu wa siku nzima.
Hapo kimetoka kuoga 😁😁😁😁
View attachment 2697092
Miezi kadhaa sikumbuki fresh.ana umri gani
Hio kipenzi cha moyo ndio imeharibu ankoo!!Miss you more ile shughuli ipo 3/4 done hiyo robo ntaimalizia usiku.
Nikaamua nicheze na kichiwawa hicho. 🤣.
Weeknd naona inakimbia hivyo 😁😁😁.
Nimekumiss sana pia kipenzi changu wa moyo (auntiee mzuri)
Mtamu kama nn 😘😍😉
Kasumbufu hako. Ohooo.Anko Nakaombaaa hakooo kazuriiii!!
sio chihuahua huyo ni maltese terrier,Miezi kadhaa sikumbuki fresh.
Nimekosa, uwe unani tag😂 na kuniambia muda bwana
Duuh sina picha kabisa mbona 😁😁😁.Naomba uibles Jioni yangu anko akee!