Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe ni kichaaa 😆😆😆😆😆😆😆
Mimi ni miss attitude ni mwendo wa kununa tu hadi nibembelezwe
Kitu kidogo nmelia
Wewe hunizidi mimi!!! Mwenzio nakua kichaa kabisaaa nishamzaba vibao sana baby wangu, sema ananionea huruma kunizibua

Nishavunja vioo vyake vya gari mpk nimechokaaaa yani, acha tu namblock nikimmiss namu unblock najifanya km sio mimi
 
Wewe ni kichaaa
Mimi ni miss attitude ni mwendo wa kununa tu hadi nibembelezwe
Kitu kidogo nmelia

Mimi hasira zangu zinakimbilia kwenye pombe, nikiwa nimekwazika nitashinda nalewa, nishasali sana kujiombea niache hii tabia nimeshindwa

Lakini hasira zikiisha nasamehe na zawadi nampelekea ila uharibifu lazima nifanye km yupo karibu

Nilichomaga nguo zake hakuamini na nikamfukuza usiku nyumbani kwangu hapo nishavunja na kioo cha gari. Mimi sijui hiz hasira zangu siwez kuzicontrol kabisaaa
 
Mimi hasira zangu zinakimbilia kwenye pombe, nikiwa nimekwazika nitashinda nalewa, nishasali sana kujiombea niache hii tabia nimeshindwa

Lakini hasira zikiisha nasamehe na zawadi nampelekea ila uharibifu lazima nifanye km yupo karibu

Nilichomaga nguo zake hakuamini na nikamfukuza usiku nyumbani kwangu hapo nishavunja na kioo cha gari. Mimi sijui hiz hasira zangu siwez kuzicontrol kabisaaa
Kheeee shogaa badilika jamani....pisi kali hasira za masai 😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom