Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Ukijipenda na kujitunza vizuri mbona utafikisha 50 na muonekano wako huo huoMnywanii wee wa kunijaza mimi kweli!!!!! Mshangazi hauna hata utamuu !! Mambo ipo kwa vigoriiii
Ukijipenda na kujitunza vizuri mbona utafikisha 50 na muonekano wako huo huoMnywanii wee wa kunijaza mimi kweli!!!!! Mshangazi hauna hata utamuu !! Mambo ipo kwa vigoriiii
Saf tu kijanavipi tena bro😂
Mmefanana hujapigwa hapaNa kimtu changu.View attachment 2697196
Wewe hunizidi mimi!!! Mwenzio nakua kichaa kabisaaa nishamzaba vibao sana baby wangu, sema ananionea huruma kunizibua
Nishavunja vioo vyake vya gari mpk nimechokaaaa yani, acha tu namblock nikimmiss namu unblock najifanya km sio mimi
Mmh we sema tu auntiee hii ni chit chat nothing serious 😅😅😅😅.Wacha wee chaukorofi wangu, ningesema neno sema tunaheshimiana![]()
Mhmm!!
Nmemis amarula jamani....hapo mix na kakitu flan kimiminika hv kinaitwa mint weeeeee lazima utatoa yoteeeNiko kwa kumalizia weekend...View attachment 2697195
Una unguruma lini hivi KwaniAsante dogo, 😍
Tumuone Mpiga picha dearr kitrambo sana sijaona blessings zako humuuu!!Niko kwa kumalizia weekend...View attachment 2697195
Sasa hivi acha niwabless nikiwa na Amarula kichwani lah 😂😂😂😂Una unguruma lini hivi Kwani
Mbona unanitenda hivo
Washenzi tu wale😀Ttz ni wewe umewavutia sana shida ndio iko hapo 😄
Wewe ni kichaaa
Mimi ni miss attitude ni mwendo wa kununa tu hadi nibembelezwe
Kitu kidogo nmelia





Asantreeeeeeeh!! Nakupendea Haunaga uswahiliiiiiiiSasa hivi acha niwabless nikiwa na Amarula kichwani lah 😂😂😂😂
Asante sana😂😂Karibu
Asante sana
Kheeee shogaa badilika jamani....pisi kali hasira za masai 😆😆😆😆😆Mimi hasira zangu zinakimbilia kwenye pombe, nikiwa nimekwazika nitashinda nalewa, nishasali sana kujiombea niache hii tabia nimeshindwa
Lakini hasira zikiisha nasamehe na zawadi nampelekea ila uharibifu lazima nifanye km yupo karibu
Nilichomaga nguo zake hakuamini na nikamfukuza usiku nyumbani kwangu hapo nishavunja na kioo cha gari. Mimi sijui hiz hasira zangu siwez kuzicontrol kabisaaa
Aaaacha basi ndio ww huyu basi ni shiiiiiida hapa jf 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😋Hello weekend 😍View attachment 2697208
Mmh we sema tu auntiee hii ni chit chat nothing serious.
Au unaogopaga tu.Kuwa huru cutty.
Tuna chitty chatty tu![]()

