Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,313
Ondoa wasii coca mzunguuuuu atatupia!!Nitaamini akinipa, sitaki hope kama jana 😅
Ondoa wasii coca mzunguuuuu atatupia!!Nitaamini akinipa, sitaki hope kama jana 😅
Juisi nzitoo sana mjombaaa😋😋!!
Sina mbambambaNakuelewaaa sana shoss akeee! Umenyooka kama rulaaaa!!




Unachat uko masjid??Nitoke masjid kwanza
Weeeeeehh muongooo!! Wee ni mwenyeji kivingine humuuu acha zakooo!
Afu mbona navokomenti sikuhizi nikama nimeokokaa kabisaaa haaaahh zamanii nilikua mwehuu sanaaa wanaonifahamu vizure wananijuaaa ..!!




umetuliaa mnooo shouzzzz akee,Kwani yeye mbna hatupii tumuonee?? Anataka wenzie tyuuh.lolOndoa wasii coca mzunguuuuu atatupia!!
Juu uone nini shangazi mzuri mzuri...Juisi nzitoo sana mjombaaa😋😋!!
Sogeza Kamera juu kidogo mjombaa samalekooo!!
👋
Sema wewe kiaziiiii!!!!umetuliaa mnooo shouzzzz akee,
🤣🤣🤣🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤠Juu uone nini shangazi mzuri mzuri...
Sema wewe kiaziiiii!!!!
Nikisema mie muhogo mchunguuuuu!!![]()





shouzzz emu hukoo nawee.Ntakutumia whatsappNimekujibu kule juu, nahisi hujaona comment, naomba link ya hilo tangazo au mawasiliano yao sasa
Ni buti hata hivyo😂Wee mtakatifu, hivyo viatuu vipiii?? Nkajua boots.
, au sijaona vizuri, emu weka nionee vyediii.
Nilikuwa sijaingia,now nishatoka.Unachat uko masjid??
Nilikuwa nshamaliza mimi hapo dogo lao alikuwa anamaliza Diploma yake .So ilikua ni kuangusha mibuyu yu😄😄Elimu gani hapa ulikuwa unamaliza bruh 😄
Inavutia sana