National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
Weka yako dada nikuonee, [emoji8][emoji8][emoji182]Chart na picha.
Toa loc nijoin, hii week nna kazi ya kutembelea na kuonana na membaz wa selfika, walioko Dar.
Nitoke masjid kwanzaWeka yako dada nikuonee, [emoji8][emoji8][emoji182]
Weeeeeehh muongooo!! Wee ni mwenyeji kivingine humuuu acha zakooo!Mi mpya tu hapa sina hata 28 bado. Huwa naasoma comments za zamani wakati huu uzi Unaanza, nimefika page 14578 sasa😂
Kuna sehemu nilikuwa nakufananisha mwandiko ndio nikakujua usiku wa jana👍
Imeisha hiyo🏃🏃🏃
Ondoa wasii coca mzunguuuuu atatupia!!Nitaamini akinipa, sitaki hope kama jana 😅
Juisi nzitoo sana mjombaaa😋😋!!
Sina mbambamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuelewaaa sana shoss akeee! Umenyooka kama rulaaaa!!
Unachat uko masjid??Nitoke masjid kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetuliaa mnooo shouzzzz akee,Weeeeeehh muongooo!! Wee ni mwenyeji kivingine humuuu acha zakooo!
Afu mbona navokomenti sikuhizi nikama nimeokokaa kabisaaa haaaahh zamanii nilikua mwehuu sanaaa wanaonifahamu vizure wananijuaaa ..[emoji16][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]!!
Kwani yeye mbna hatupii tumuonee?? Anataka wenzie tyuuh.lolOndoa wasii coca mzunguuuuu atatupia!!
Juu uone nini shangazi mzuri mzuri...Juisi nzitoo sana mjombaaa😋😋!!
Sogeza Kamera juu kidogo mjombaa samalekooo!!
👋
Sema wewe kiaziiiii!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetuliaa mnooo shouzzzz akee,
🤣🤣🤣🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤠Juu uone nini shangazi mzuri mzuri...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shouzzz emu hukoo nawee.Sema wewe kiaziiiii!!!!
Nikisema mie muhogo mchunguuuuu!![emoji3526]
Ntakutumia whatsappNimekujibu kule juu, nahisi hujaona comment, naomba link ya hilo tangazo au mawasiliano yao sasa
Ni buti hata hivyo😂Wee mtakatifu, hivyo viatuu vipiii?? Nkajua boots.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], au sijaona vizuri, emu weka nionee vyediii.