Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Niambie sehem gani wanapiga live band mzuri nina stress sana huwa nikiwa na stress napenda kusikiliza live band nitajieni maeneo
Ilo shati niliogopa kuvaa kisa niliona Mareham kavaa ilo mpaka leo naogop kununuaa aina ya mashat kama hayoMiaka 7 nyuma.View attachment 2687019
Oyaa Jack Palladino ujumbe huo umeuona messenger nipo hapa kuufikisha unapotakiwa salama salmiin 😄Umekuja kimya kimya...uondoke kimya kimya!!! Kama kuna zawadi mpe raraa reree aniletee.😏
Wahi boardroom Sinza, Banana Zoro kuanzia J5 hadi J2Niambie sehem gani wanapiga live band mzuri nina stress sana huwa nikiwa na stress napenda kusikiliza live band nitajieni maeneo
Wewe upo wapi?Oyaa Jack Palladino ujumbe huo umeuona messenger nipo hapa kuufikisha unapotakiwa salama salmiin 😄
Upo Zenji au Dar,Kweli???☺️🤗
Nipo kisota 😃Wewe upo wapi?
Unazingua kisota ndio wapNipo kisota 😃
Elimu gani hapa ulikuwa unamaliza bruh 😄Miaka 7 nyuma.View attachment 2687019
Nimepaona panaonekana panabamba sanaWahi boardroom Sinza, Banana Zoro kuanzia J5 hadi J2
Kigamboni 😄Unazingua kisota ndio wap
Kesho panabamba?Wahi boardroom Sinza, Banana Zoro kuanzia J5 hadi J2
Lizzy anaweza kwenda huko?Kigamboni 😄
Binafsi napapenda sanaNimepaona panaonekana panabamba sana
Sanaa tuKesho panabamba?
Nakuja ulipo nachukua nampelekea 😁Lizzy anaweza kwenda huko?
Nitaenda kesho leo mafua yamenikamata vibayaBinafsi napapenda sana
Dr LizzyNakuja ulipo nachukua nampelekea 😁
Pole mkuuNitaenda kesho leo mafua yamenikamata vibaya
Asante leo nilitaman kwenda ngao ila mafua naona yamemizidi nguvuPole mkuu