Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,269
Ndiokwani kuna njia ya kisasa??😂
Ndiokwani kuna njia ya kisasa??😂
unazani sitaki??😂 urefu wa kamba....Mihogo inakuwa mitamu ikiwa na mishikaki, unafeli mbona😂
Katuingiza mitini sina hamu naye mieNitalipia Jack Palladino leo katukimbia
Tutafika tu mdogo mdogounazani sitaki??😂 urefu wa kamba....
uje upost humu nione😂Ndio
Si ungesema nikutumie buku ya mishkaki totoounazani sitaki??😂 urefu wa kamba....
Nimeoga kabisa nimejigandika na mafuta ya bby care osoni nanga kama kitumbua cha asubuhi af ametudanganya kweliKatuingiza mitini sina hamu naye mie
Sawa kula mzee nakuja arusha nitakaa wiki then manyarauje upost humu nione😂
nimeshakazia na lita ya maji😂Si ungesema nikutumie buku ya mishkaki totoo
Bora ukabwe na nyama kuliko na mihogo mikavu
Ila alisema saa 12, wacha tusubiri labda mda badoNimeoga kabisa nimejigandika na mafuta ya bby care osoni nanga kama kitumbua cha asubuhi af ametudanga kweli
sipo huko yupo depalSawa kula mzee nakuja arusha nitakaa wiki then manyara
Umedangwa? 🧐Nimeoga kabisa nimejigandika na mafuta ya bby care osoni nanga kama kitumbua cha asubuhi af ametudanga kweli
Ndio uanaume huo, safi sananimeshakazia na lita ya maji😂
Sawa ila mm nishaoga nimevaa shati la rangi ya mgomba na suruali ya damu ya mzee inawaka kama.satini nimevaa na raba ya rangi nyekunduIla alisema saa 12, wacha tusubiri labda mda bado
mshamba_hachekwi tafuta hela uwe unakula vitu ka hiziHello Friday 🥂View attachment 2687805
Typing error ahahahhUmedangwa? 🧐
Kama nakuona ullivyowakaaa hapo.😍Sawa ila mm nishaoga nimevaa shati la rangi ya mgomba na suruali ya damu ya mzee inawaka kama.satini nimevaa na raba ya rangi nyekundu
Kwani nimekuambia nakuja.kwenu kula mihogo?sipo huko yupo depal
sio poa hio Depal watamuokota mtaroni😂mshamba_hachekwi tafuta hela uwe unakula vitu ka hizi