Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hofu yako aisee
Anyway just be you .

Ushakuja humu kabla ??
Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.

Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.


Na mtaani niko hivihvi.
 
Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.

Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.


Na mtaani niko hivihvi.
Una hela?? Nijibu hapo kwani.
 
Unaenda zako mahengee, nimekumbuka mlima ndororo,
Mambo ya lupiroo, ukifikaa mahenge town, nenda had Kwiro boys high school.

Nimekumbukaa mbali sanaaa, sahivi liko daraja, zaman tulivuka na panton.
Kumbe unapakumbuka vizuri, kivuko cha Panton kimekufa baada ya kukamilika kwa daraja hili.

Hali ya barabara miaka ya zamani ilikuwa mbaya sana, lakini kwasasa kuna ujenzi wa barabara ya Lami unaendelea. Ukikamilika inaweza kuchukua saa 1:30 kutoka Ifakara hadi Mikumi kama una usafiri private, lakini pia ukitaka kufika Songea kupitia njia hiyo inaweza kuwa rahisi kuliko kupitia Njombe au Mtwara.

Karibu tulime Mpunga Mjukuu 🤗
 
Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.

Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.


Na mtaani niko hivihvi.
Haitokei kuzoeana ukiwa mkimya ,
Just try to have fun, and fuatilia jinsi uzi unavyoenda

Regardless unamjua mtu au la
Wewe comment tu
 
Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.

Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.


Na mtaani niko hivihvi.
Pole
 
Njoo uchague zawadi Depal 😊
20230709_090322.jpg
 
Back
Top Bottom