Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.

Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.


Na mtaani niko hivihvi.
Pole
 
Njoo uchague zawadi Depal 😊
20230709_090322.jpg
 
Kumbe unapakumbuka vizuri, kivuko cha Panton kimekufa baada ya kukamilika kwa daraja hili.

Hali ya barabara miaka ya zamani ilikuwa mbaya sana, lakini kwasasa kuna ujenzi wa barabara ya Lami unaendelea. Ukikamilika inaweza kuchukua saa 1:30 kutoka Ifakara hadi Mikumi kama una usafiri private, lakini pia ukitaka kufika Songea kupitia njia hiyo inaweza kuwa rahisi kuliko kupitia Njombe au Mtwara.

Karibu tulime Mpunga Mjukuu [emoji847]
Ndo naisubiri hiyo ya ifakara kutoboa Songea, hiyo rahis mnoo sanaa. Nakuja kuvuna mpunga gran Ba.
 
Back
Top Bottom