mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,306
- 72,056
mgeni amelewa huyo huoni anatype makorokocho😂Its okay ..
mshamba_hachekwi mpokee mgeni huyu .
mgeni amelewa huyo huoni anatype makorokocho😂Its okay ..
mshamba_hachekwi mpokee mgeni huyu .
Hofu yako aiseeMimi watu hawatonizoea, na sijui ni kwanin. Zaidi zaidi watanikwepa.
Mpokee hivyo hivyomgeni amelewa huyo huoni anatype makorokocho😂
Nambieee dearSalama kipenzi
imeshakua kama kawaida kulala saa 10, saa 9.....Leo mkesha tena ??
Cazeee emu sema kweliiii.kwenye pizza hata mjeda hakuna kuogopa
Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.Hofu yako aisee
Anyway just be you .
Ushakuja humu kabla ??
Una hela?? Nijibu hapo kwani.Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.
Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.
Na mtaani niko hivihvi.
Sina.Una hela?? Nijibu hapo kwani.
Duh hongeraimeshakua kama kawaida kulala saa 10, saa 9.....
Kumbe unapakumbuka vizuri, kivuko cha Panton kimekufa baada ya kukamilika kwa daraja hili.Unaenda zako mahengee, nimekumbuka mlima ndororo,
Mambo ya lupiroo, ukifikaa mahenge town, nenda had Kwiro boys high school.
Nimekumbukaa mbali sanaaa, sahivi liko daraja, zaman tulivuka na panton.
Haitokei kuzoeana ukiwa mkimya ,Tatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.
Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.
Na mtaani niko hivihvi.
Ooh Asante nilikuwa nimesinzia
PoleTatzo nashindwa kuendana na watu wengine.
Huwa naona mnavyochat hapa. Ni kama mnafahamiana vile, mmezoeana kabisa.
Sometime mnataniana.
Hiyo kitu mimi siwezi( japokuwa natamani kiasi fulani).
Mimi nikianzisha stori reply tano naishiwa cha kusema.
Na mtaani niko hivihvi.
🤣🤣mbona mdogo hivyo😂
au ni dagaa pori
Asante.Pole