Useme kabisa graduu lini
Siyo unanishtukiza Zima moto kama hii niliyofanya.



graduu ni December, ko muda unao mwingii wa kujiandaaa.Antonnia nilishamuoza kwa Mjeshi, hapa nina Mjukuu mwingine nategemea kumuozesha kabla ya December 🤪
Lady naa anaweza wapii kumu handle zari kwa bill na kila kitu?? Wanamuonea wivuu tyuuh. Zarii yuko juu.Huwa simuelewi Zari , huu mwaka mbaya kwake , mara fantana na sasa hivi Lady naa
Kasema akienda kwenye interview za Visa hajielewi na ni f*la .
Aisee poor guy , na jamaa ni 1992, anaendeshwa kabisa na mkewe .






Walizingua sanaWasilete mambo ya dejan sasa, tunataka makombe tu
Mwaka huu tukikosa sana basi makombe mawili 💪Wasilete mambo ya dejan sasa, tunataka makombe tu
Tena kufika December ntakuwa expert , professional baker.graduu ni December, ko muda unao mwingii wa kujiandaaa.
Hehee amelipa deni au bado ??Lady naa anaweza wapii kumu handle zari kwa bill na kila kitu?? Wanamuonea wivuu tyuuh. Zarii yuko juu.
Sasa Zari atapata bwana gan wa pekee ake? Wa umru wake wote washakua na familia, yeye abaki na vibenteni vya kuvileaa.
![]()
Mie ni team Zariii,Hehee amelipa deni au bado ??
Kumbe wewe ni team zari
Yeah nimeona yupo 45, umri ushaenda lakini kuna wanaume wengi kati kati angekuwa nae .






Makubwa ya jongo 😂😂Mie ni team Zariii,
Dear Zari hana cha kupotezaaa, hela anazo, na anajitambua mnoo.
Watoto 5, 45yrs akisimama na mabinti yeye anaonekanaa mdogoo.
Wamuachee BL wetuuu, hawamuwezi kwa chochoteee.
Bora yeye anazo za kufanyia surgery, hao vidampa wengine wanaishia kuona kwa TV,Makubwa ya jongo
Boss wenu anafnya plastic surgeries tu .
Anajitahidi sana kuprove kuwa she's a billionaire , hehe msimu wa tu YFA uanze tu tucheke sie![]()






Ah wapi , just few bucks anazo , japo hao wengine hawana .Bora yeye anazo za kufanyia surgery, hao vidampa wengine wanaishia kuona kwa TV,
Kwan Dear wee humpendi Zariii?? Woiiiiiiih
Eeendiwoooooooo ndiwooo granpah mjeshi na aheshimiwe nawatu wotreeee😊!!!Antonnia nilishamuoza kwa Mjeshi, hapa nina Mjukuu mwingine nategemea kumuozesha kabla ya December 🤪
Vyombo ni muhimu sana Chifu kutufariji Wanaume Wazee, unajua mkishazeeka kama Mimi hivi unakuta muda wote nabaki nyumbani peke yangu maana Bibi yenu safari kila leo kusalimia Wajukuu zake wa Mjini huko, akija kurudi Kijijini basi ni Disemba, Imagine maisha yangekuwaje bila Vyombo 😅🙌
Ah wapi , just few bucks anazo , japo hao wengine hawana .
Kawaida tu , alinikera enzi za Wema , nilikuwa team Wema .





Dear bhana, muache bhana Zariii.Kabesaaa kabesaaa mr vouchaaaa weekend ni kufurahiiiiii!!!
Kwa sababu ni team SeptemberDear bhana, muache bhana Zariii.
Afu mbna Zari hakuwa na ugomvi na wema, ila Mobetto hapo sawaa.
Mashabiki ndo walikua wanaunda biffu wema na zariiii.
Maisha yafaa nini bila Vyombo, the weekend is here 🥂Eeendiwoooooooo ndiwooo granpah mjeshi na aheshimiwe nawatu wotreeee😊!!!
Piga vyombo urefresh akiliiiiii babuu!
Mjukuu wako Mjep
Absolutely hasa kwa sisi Wazee ila nyie vijana mna cha kujifunza 🤗So sad
Hayo ni ya kuyaacha tu
Tuishi tu , nchi ngumu hii .
Dp World 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Nimefurahi kusikia Ofa ya DP World kulikodisha Jukwaa letu la Selfika na JF kwa kipindi kisichojulikana imetupiliwa mbali.
Kongole kwa Wanasheria wetu makini wakiongozwa na mshamba_hachekwi Tinsley Mjep na Wakili msomi rabbitus kuweza kusimamia hili
Sasa tunaweza kunywa John Walker zetu kwa utulivu sasa 🤪
Guys it's Friday 🥂
Kwa sababu ni team September
Namuacha
Alikuwa anamchokoza yaani yeye kila mwanamke wa Dai anajifanya kumponda .
Acting classy , kumbe kama wenzake tu![]()





ila ukweli Zari ni classic kuliko hao wenginee.





