Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umetisha sana babu yake Antonnia
Chapa vyombo
Its Friday
Antonnia nilishamuoza kwa Mjeshi, hapa nina Mjukuu mwingine nategemea kumuozesha kabla ya December 🤪

Vyombo ni muhimu sana Chifu kutufariji Wanaume Wazee, unajua mkishazeeka kama Mimi hivi unakuta muda wote nabaki nyumbani peke yangu maana Bibi yenu safari kila leo kusalimia Wajukuu zake wa Mjini huko, akija kurudi Kijijini basi ni Disemba, Imagine maisha yangekuwaje bila Vyombo 😅🙌
 
Huwa simuelewi Zari , huu mwaka mbaya kwake , mara fantana na sasa hivi Lady naa

Kasema akienda kwenye interview za Visa hajielewi na ni f*la .

Aisee poor guy , na jamaa ni 1992, anaendeshwa kabisa na mkewe .
Lady naa anaweza wapii kumu handle zari kwa bill na kila kitu?? Wanamuonea wivuu tyuuh. Zarii yuko juu.

Sasa Zari atapata bwana gan wa pekee ake? Wa umru wake wote washakua na familia, yeye abaki na vibenteni vya kuvileaa.

 
Lady naa anaweza wapii kumu handle zari kwa bill na kila kitu?? Wanamuonea wivuu tyuuh. Zarii yuko juu.

Sasa Zari atapata bwana gan wa pekee ake? Wa umru wake wote washakua na familia, yeye abaki na vibenteni vya kuvileaa.

Hehee amelipa deni au bado ??
Kumbe wewe ni team zari

Yeah nimeona yupo 45, umri ushaenda lakini kuna wanaume wengi kati kati angekuwa nae .
 
Hehee amelipa deni au bado ??
Kumbe wewe ni team zari

Yeah nimeona yupo 45, umri ushaenda lakini kuna wanaume wengi kati kati angekuwa nae .
Mie ni team Zariii,
Dear Zari hana cha kupotezaaa, hela anazo, na anajitambua mnoo.

Watoto 5, 45yrs akisimama na mabinti yeye anaonekanaa mdogoo.
Wamuachee BL wetuuu, hawamuwezi kwa chochoteee.
 
Mie ni team Zariii,
Dear Zari hana cha kupotezaaa, hela anazo, na anajitambua mnoo.

Watoto 5, 45yrs akisimama na mabinti yeye anaonekanaa mdogoo.
Wamuachee BL wetuuu, hawamuwezi kwa chochoteee.
Makubwa ya jongo 😂😂
Boss wenu anafnya plastic surgeries tu .

Anajitahidi sana kuprove kuwa she's a billionaire , hehe msimu wa tu YFA uanze tu tucheke sie 😂😂
 
Makubwa ya jongo
Boss wenu anafnya plastic surgeries tu .

Anajitahidi sana kuprove kuwa she's a billionaire , hehe msimu wa tu YFA uanze tu tucheke sie
Bora yeye anazo za kufanyia surgery, hao vidampa wengine wanaishia kuona kwa TV,

Kwan Dear wee humpendi Zariii?? Woiiiiiiih
 
Bora yeye anazo za kufanyia surgery, hao vidampa wengine wanaishia kuona kwa TV,

Kwan Dear wee humpendi Zariii?? Woiiiiiiih
Ah wapi , just few bucks anazo , japo hao wengine hawana .

Kawaida tu , alinikera enzi za Wema , nilikuwa team Wema .
 
Antonnia nilishamuoza kwa Mjeshi, hapa nina Mjukuu mwingine nategemea kumuozesha kabla ya December 🤪

Vyombo ni muhimu sana Chifu kutufariji Wanaume Wazee, unajua mkishazeeka kama Mimi hivi unakuta muda wote nabaki nyumbani peke yangu maana Bibi yenu safari kila leo kusalimia Wajukuu zake wa Mjini huko, akija kurudi Kijijini basi ni Disemba, Imagine maisha yangekuwaje bila Vyombo 😅🙌
Eeendiwoooooooo ndiwooo granpah mjeshi na aheshimiwe nawatu wotreeee😊!!!
Piga vyombo piga vyombo urefresh akiliiiiii babuu!
Mjukuu wako Mjep Anasemaga maisha ndio hayahayaaa 🤠🤠🤠!!😃
 
Ah wapi , just few bucks anazo , japo hao wengine hawana .

Kawaida tu , alinikera enzi za Wema , nilikuwa team Wema .
Dear bhana, muache bhana Zariii.
Afu mbna Zari hakuwa na ugomvi na wema, ila Mobetto hapo sawaa.

Mashabiki ndo walikua wanaunda biffu wema na zariiii.
 
Dear bhana, muache bhana Zariii.
Afu mbna Zari hakuwa na ugomvi na wema, ila Mobetto hapo sawaa.

Mashabiki ndo walikua wanaunda biffu wema na zariiii.
Kwa sababu ni team September
Namuacha 😂😂😂

Alikuwa anamchokoza yaani yeye kila mwanamke wa Dai anajifanya kumponda .

Acting classy , kumbe kama wenzake tu 😂😂
 
Eeendiwoooooooo ndiwooo granpah mjeshi na aheshimiwe nawatu wotreeee😊!!!
Piga vyombo urefresh akiliiiiii babuu!
Mjukuu wako Mjep
Maisha yafaa nini bila Vyombo, the weekend is here 🥂

Isingekuwa Ujeshi wake, kuna vijana hapa selfika wangejaribu kukuiba lakini kila wakikumbuka mjeshi ana miliki 🔫 inawalazimu watoke speed tu 🏃🏃🏃🤪
 
Nimefurahi kusikia Ofa ya DP World kulikodisha Jukwaa letu la Selfika na JF kwa kipindi kisichojulikana imetupiliwa mbali.

Kongole kwa Wanasheria wetu makini wakiongozwa na mshamba_hachekwi Tinsley Mjep na Wakili msomi rabbitus kuweza kusimamia hili

Sasa tunaweza kunywa John Walker zetu kwa utulivu sasa 🤪

Guys it's Friday 🥂
Dp World 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!

Weee granpah kumbe una ukorofiii hivooo 🤣🤣🤣!!

Mi Nimesikia ilikua inaulizia masoko yalipo na kutangaza biashara tyuuuuu saiii ndio inayeya mazimaaa!!!!!!!😃
 
Kwa sababu ni team September
Namuacha

Alikuwa anamchokoza yaani yeye kila mwanamke wa Dai anajifanya kumponda .

Acting classy , kumbe kama wenzake tu
ila ukweli Zari ni classic kuliko hao wenginee.
Tatizo watu wanataka Zari awe km kina wema na mobetto, hapanaa zarii hawezii hivyooo.

Ana viwangoo vyakee,
 
Back
Top Bottom