Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mweh mshamba wakuja mwanamke yupoyupo tu naibwaje babu nawee!!
Kwanza Vijana sio fleva zangu mieee wana mambo miambiliiii ishirini kidogoooo😏!
Acha nipambane naharee yangu tyuuuu!!
Hahaha.............kwahiyo unataka kusema Mjeshi tulimpiga ile milioni 15 aliyotoa kama Mahari kukuoa? 🙈

I know you might be kidding 🤗
 
  • Thanks
Reactions: 511
Dp World 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!

Weee granpah kumbe una ukorofiii hivooo 🤣🤣🤣!!

Mi Nimesikia ilikua inaulizia masoko yalipo na kutangaza biashara tyuuuuu saiii ndio inayeya mazimaaa!!!!!!!😃
Wanasema Bandari ikichukuliwa na DP World ajira zitazalishwa nyingi huko bandari wakati huo huo wanasema watatumia Robots kufanya kazi

JK aliwahi kusema za kuambiwa changanya na zako 🙌
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Shida yenu Vijana hamna ujasiri, mngekuwa mmezaliwa miaka yetu sidhani kama mngeweza kumfukuza Mkoloni na kuipatia Nchi Uhuru kama tulivyoweza Sisi Babu zenu 🤪
Noma sana
Mheshimiwe wazee wetu

Mimi wazungu nawapenda , wametuletea mambo mazuri , tungebaki vile sijui ingekuwaje .
 
Noma sana
Mheshimiwe wazee wetu

Mimi wazungu nawapenda , wametuletea mambo mazuri , tungebaki vile sijui ingekuwaje .
Hahahaha..............

Hii Nchi ingeendelea kutawaliwa na Wazungu hadi walau Mwaka 2000 huenda tungekuwa tumepiga hatua kama Afrika Kusini au zaidi.

Sisi kinachotugharimu ni Rushwa

Eti inasemekana yule Yuda Iskarioti aliyemuuza Yesu ana asili ya Tanzania.

Nikimaliza beer yangu ya nne nitataja Kabila lake 🤪
 
Mweh mshamba wakuja mwanamke yupoyupo tu naibwaje babu nawee!!
Kwanza Vijana sio fleva zangu mieee wana mambo miambiliiii ishirini kidogoooo!
Acha nipambane naharee yangu tyuuuu!!
Chukua vijanaaa wee, damu changa, damuya motoo, ukitoka mzagamuoni unatafuta pain killer na maji ya kunywaa.
 
Hahahaha..............

Hii Nchi ingeendelea kutawaliwa na Wazungu hadi walau Mwaka 2000 huenda tungekuwa tumepiga hatua kama Afrika Kusini au zaidi.

Sisi kinachotugharimu ni Rushwa

Eti inasemekana yule Yuda Iskarioti aliyemuuza Yesu ana asili ya Tanzania.

Nikimaliza beer yangu ya nne nitataja Kabila lake 🤪
Nliishawahi kutamani hivi
Tungekuwa mbali sana na kufikia malengo makubwa.

Wakenya wanatucheka kuwa hatuna skyscrapers nyingi
Zipo mbili tu za pale posta .
 
Noma sana
Mheshimiwe wazee wetu

Mimi wazungu nawapenda , wametuletea mambo mazuri , tungebaki vile sijui ingekuwaje .
Basi wenzio hao wazungu ndo hawataki kuwasikia, utaskia wameleta , utadhani watu wanashikiwa bundukii, lol.

 
Chukua vijanaaa wee, damu changa, damuya motoo, ukitoka mzagamuoni unatafuta pain killer na maji ya kunywaa.
Ili nigundue nini miee hekaheka siziwezi uduguuu 🤠😁!
Acha nitulie miee nilienae anitoshelezaaa mpaka nabakiaaa 😛😛😛😛!!
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom