Forever and everShem asante sana 😍😍😍
Heheee aiseeyaan hapo Pa vya kuchanikaaa, umenikamataa ntavizoa km vyoteee. C unsjua napenda mwili wangu uwe nje upigwe na hewaaaa.
Kwa nini nisipajue, nitakupiga na migebuka usoni ndio uamini😂Kazuramimba lol!!
Upajulie wapi wee unapasikia tu!!
Ubarikiwe sanaForever and ever
Hapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0Ni kweli hii ??
Sijafuatilia mambo ya siasa siku nyingi .
Heheee aisee
Una ripped jeans za kutosha .




mnooooo, yaan jeans zangu zotee lazima ziwe ripped, nikikuta nzima nikiipenda nachukua naichanaa ku modify.😂😂😂😂Watu wanatokaa uzeeni, wanaenda ujanani.
Nguvu ya,
Hamissa hiyo shingo, mama K hayo km anavuta Bangiii.
View attachment 2674398
Wewe nahisi ukiikosa wiki tu unaokota makopo. Iko damuni mwako🤣🤣🤣
Umetisha sana babu yake AntonniaNimefurahi kusikia Ofa ya DP World kulikodisha Jukwaa letu la Selfika na JF kwa kipindi kisichojulikana imetupiliwa mbali.
Kongole kwa Wanasheria wetu makini wakiongozwa na mshamba_hachekwi Tinsley Mjep na Wakili msomi rabbitus kuweza kusimamia hili
Sasa tunaweza kunywa John Walker zetu kwa utulivu sasa 🤪
Guys it's Friday 🥂
So sadHapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0
Huenda sisi ndiyo tukawa Wazee wa mwisho mwisho kushuhudia Bandari ikihamishwa umiliki kwenda kwa WaDubai.
Sijui Wajukuu zenu watajivunia nini huko mbele ya safari
Anyways, wacha tunywe maji ya uzima si unajua weekend leo 🥂
Wasilete mambo ya dejan sasa, tunataka makombe tuUmejua kupatia, always Red is the Color 💪
Zari kayakanyaga huko London, si alienda na kichaa mwenzangu Giggy mahelaaa, bas tafrani tupuu.![]()
Hivi zari imekuaje , nasikia amemuita mumewe vibaya .







Useme kabisa graduu liniyangu itaita sasa hivi, upokee sasa
Eeh upo wild wewemnooooo, yaan jeans zangu zotee lazima ziwe ripped, nikikuta nzima nikiipenda nachukua naichanaa ku modify.
Wewe nahisi ukiikosa wiki tu unaokota makopo. Iko damuni mwako![]()




week?? Siku 2 tyuuh nakua km mwendawazimuu vilee, gubu na visirani haviishii.








Huwa simuelewi Zari , huu mwaka mbaya kwake , mara fantana na sasa hivi Lady naaZari kayakanyaga huko London, si alienda na kichaa mwenzangu Giggy mahelaaa, bas tafrani tupuu.
Mumewee kibentenii![]()