Wasilete mambo ya dejan sasa, tunataka makombe tuUmejua kupatia, always Red is the Color 💪
Wasilete mambo ya dejan sasa, tunataka makombe tuUmejua kupatia, always Red is the Color 💪
Zari kayakanyaga huko London, si alienda na kichaa mwenzangu Giggy mahelaaa, bas tafrani tupuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi zari imekuaje , nasikia amemuita mumewe vibaya .
Useme kabisa graduu lini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yangu itaita sasa hivi, upokee sasa
Eeh upo wild wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnooooo, yaan jeans zangu zotee lazima ziwe ripped, nikikuta nzima nikiipenda nachukua naichanaa ku modify.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] week?? Siku 2 tyuuh nakua km mwendawazimuu vilee, gubu na visirani haviishii.Wewe nahisi ukiikosa wiki tu unaokota makopo. Iko damuni mwako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa simuelewi Zari , huu mwaka mbaya kwake , mara fantana na sasa hivi Lady naaZari kayakanyaga huko London, si alienda na kichaa mwenzangu Giggy mahelaaa, bas tafrani tupuu.
Mumewee kibentenii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] graduu ni December, ko muda unao mwingii wa kujiandaaa.Useme kabisa graduu lini
Siyo unanishtukiza Zima moto kama hii niliyofanya.
Antonnia nilishamuoza kwa Mjeshi, hapa nina Mjukuu mwingine nategemea kumuozesha kabla ya December 🤪
Lady naa anaweza wapii kumu handle zari kwa bill na kila kitu?? Wanamuonea wivuu tyuuh. Zarii yuko juu.Huwa simuelewi Zari , huu mwaka mbaya kwake , mara fantana na sasa hivi Lady naa
Kasema akienda kwenye interview za Visa hajielewi na ni f*la .
Aisee poor guy , na jamaa ni 1992, anaendeshwa kabisa na mkewe .
Walizingua sanaWasilete mambo ya dejan sasa, tunataka makombe tu
Mwaka huu tukikosa sana basi makombe mawili 💪Wasilete mambo ya dejan sasa, tunataka makombe tu
Tena kufika December ntakuwa expert , professional baker.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] graduu ni December, ko muda unao mwingii wa kujiandaaa.
Hehee amelipa deni au bado ??Lady naa anaweza wapii kumu handle zari kwa bill na kila kitu?? Wanamuonea wivuu tyuuh. Zarii yuko juu.
Sasa Zari atapata bwana gan wa pekee ake? Wa umru wake wote washakua na familia, yeye abaki na vibenteni vya kuvileaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ni team Zariii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehee amelipa deni au bado ??
Kumbe wewe ni team zari
Yeah nimeona yupo 45, umri ushaenda lakini kuna wanaume wengi kati kati angekuwa nae .
Makubwa ya jongo 😂😂Mie ni team Zariii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dear Zari hana cha kupotezaaa, hela anazo, na anajitambua mnoo.
Watoto 5, 45yrs akisimama na mabinti yeye anaonekanaa mdogoo.
Wamuachee BL wetuuu, hawamuwezi kwa chochoteee.
Bora yeye anazo za kufanyia surgery, hao vidampa wengine wanaishia kuona kwa TV, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makubwa ya jongo [emoji23][emoji23]
Boss wenu anafnya plastic surgeries tu .
Anajitahidi sana kuprove kuwa she's a billionaire , hehe msimu wa tu YFA uanze tu tucheke sie [emoji23][emoji23]
Ah wapi , just few bucks anazo , japo hao wengine hawana .Bora yeye anazo za kufanyia surgery, hao vidampa wengine wanaishia kuona kwa TV, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan Dear wee humpendi Zariii?? Woiiiiiiih
Eeendiwoooooooo ndiwooo granpah mjeshi na aheshimiwe nawatu wotreeee😊!!!Antonnia nilishamuoza kwa Mjeshi, hapa nina Mjukuu mwingine nategemea kumuozesha kabla ya December 🤪
Vyombo ni muhimu sana Chifu kutufariji Wanaume Wazee, unajua mkishazeeka kama Mimi hivi unakuta muda wote nabaki nyumbani peke yangu maana Bibi yenu safari kila leo kusalimia Wajukuu zake wa Mjini huko, akija kurudi Kijijini basi ni Disemba, Imagine maisha yangekuwaje bila Vyombo 😅🙌