Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wanatokaa uzeeni, wanaenda ujanani.
Nguvu ya ,
Hamissa hiyo shingo, mama K hayo km anavuta Bangiii.

FB_IMG_16881417043042142.jpg
 
Ni kweli hii ??
Sijafuatilia mambo ya siasa siku nyingi .
Hapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0

Huenda sisi ndiyo tukawa Wazee wa mwisho mwisho kushuhudia Bandari ikihamishwa umiliki kwenda kwa WaDubai.

Sijui Wajukuu zenu watajivunia nini huko mbele ya safari

Anyways, wacha tunywe maji ya uzima si unajua weekend leo 🥂
 
Nimefurahi kusikia Ofa ya DP World kulikodisha Jukwaa letu la Selfika na JF kwa kipindi kisichojulikana imetupiliwa mbali.

Kongole kwa Wanasheria wetu makini wakiongozwa na mshamba_hachekwi Tinsley Mjep na Wakili msomi rabbitus kuweza kusimamia hili

Sasa tunaweza kunywa John Walker zetu kwa utulivu sasa 🤪

Guys it's Friday 🥂
Umetisha sana babu yake Antonnia
Chapa vyombo
Its Friday
 
Hapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0

Huenda sisi ndiyo tukawa Wazee wa mwisho mwisho kushuhudia Bandari ikihamishwa umiliki kwenda kwa WaDubai.

Sijui Wajukuu zenu watajivunia nini huko mbele ya safari

Anyways, wacha tunywe maji ya uzima si unajua weekend leo 🥂
So sad
Hayo ni ya kuyaacha tu

Tuishi tu , nchi ngumu hii .
 
mnooooo, yaan jeans zangu zotee lazima ziwe ripped, nikikuta nzima nikiipenda nachukua naichanaa ku modify.
Eeh upo wild wewe
Ninayo mmoja tu , na sio sana na niikivaa huwa najishtukia sana .
 
  • Thanks
Reactions: 511
Zari kayakanyaga huko London, si alienda na kichaa mwenzangu Giggy mahelaaa, bas tafrani tupuu.

Mumewee kibentenii
Huwa simuelewi Zari , huu mwaka mbaya kwake , mara fantana na sasa hivi Lady naa

Kasema akienda kwenye interview za Visa hajielewi na ni f*la .

Aisee poor guy , na jamaa ni 1992, anaendeshwa kabisa na mkewe .
 
Back
Top Bottom