Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aminaaa amina shougaaangu!!
Hata vipensi vya kuchanikachaanika vipoo fanya ukuje kuniungisha uduguuu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapo Pa vya kuchanikaaa, umenikamataa ntavizoa km vyoteee. C unsjua napenda mwili wangu uwe nje upigwe na hewaaaa.
 
😂😂😂
Babu shikamoo

Habari njema sana hiyo ,selfika idumu , hapa ni nyumbani .
Marahaba Mjukuu, kwa kweli nimepata faraja kuona Ile Ada niliyokuwa nawalipia Wajukuu zangu haijaenda bure.

Mmepambana sana kwa hoja kuitetea Selfika yetu hadi DP World wamekimbia 😅😅🙌
 
Marahaba Mjukuu, kwa kweli nimepata faraja kuona Ile Ada niliyokuwa nawalipia Wajukuu zangu haijaenda bure.

Mmepambana sana kwa hoja kuitetea Selfika yetu hadi DP World wamekimbia 😅😅🙌
Ni kweli hii ??
Sijafuatilia mambo ya siasa siku nyingi .
 
Watu wanatokaa uzeeni, wanaenda ujanani.
Nguvu ya [emoji385], [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamissa hiyo shingo, mama K hayo km anavuta Bangiii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16881417043042142.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapo Pa vya kuchanikaaa, umenikamataa ntavizoa km vyoteee. C unsjua napenda mwili wangu uwe nje upigwe na hewaaaa.
Heheee aisee
Una ripped jeans za kutosha .
 
  • Thanks
Reactions: 511
Ni kweli hii ??
Sijafuatilia mambo ya siasa siku nyingi .
Hapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0

Huenda sisi ndiyo tukawa Wazee wa mwisho mwisho kushuhudia Bandari ikihamishwa umiliki kwenda kwa WaDubai.

Sijui Wajukuu zenu watajivunia nini huko mbele ya safari

Anyways, wacha tunywe maji ya uzima si unajua weekend leo 🥂
 
Watu wanatokaa uzeeni, wanaenda ujanani.
Nguvu ya [emoji385], [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamissa hiyo shingo, mama K hayo km anavuta Bangiii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2674398
😂😂😂😂
Hivi zari imekuaje , nasikia amemuita mumewe vibaya .
 
  • Mshangao
Reactions: 511
Nimefurahi kusikia Ofa ya DP World kulikodisha Jukwaa letu la Selfika na JF kwa kipindi kisichojulikana imetupiliwa mbali.

Kongole kwa Wanasheria wetu makini wakiongozwa na mshamba_hachekwi Tinsley Mjep na Wakili msomi rabbitus kuweza kusimamia hili

Sasa tunaweza kunywa John Walker zetu kwa utulivu sasa 🤪

Guys it's Friday 🥂
Umetisha sana babu yake Antonnia
Chapa vyombo
Its Friday
 
Hapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0

Huenda sisi ndiyo tukawa Wazee wa mwisho mwisho kushuhudia Bandari ikihamishwa umiliki kwenda kwa WaDubai.

Sijui Wajukuu zenu watajivunia nini huko mbele ya safari

Anyways, wacha tunywe maji ya uzima si unajua weekend leo 🥂
So sad
Hayo ni ya kuyaacha tu

Tuishi tu , nchi ngumu hii .
 
Back
Top Bottom