[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapo Pa vya kuchanikaaa, umenikamataa ntavizoa km vyoteee. C unsjua napenda mwili wangu uwe nje upigwe na hewaaaa.Aminaaa amina shougaaangu!!
Hata vipensi vya kuchanikachaanika vipoo fanya ukuje kuniungisha uduguuu!!
Marahaba Mjukuu, kwa kweli nimepata faraja kuona Ile Ada niliyokuwa nawalipia Wajukuu zangu haijaenda bure.😂😂😂
Babu shikamoo
Habari njema sana hiyo ,selfika idumu , hapa ni nyumbani .
Shirt au ??Za simba pia kama zote deaaarr 😃😃!
Ni kweli hii ??Marahaba Mjukuu, kwa kweli nimepata faraja kuona Ile Ada niliyokuwa nawalipia Wajukuu zangu haijaenda bure.
Mmepambana sana kwa hoja kuitetea Selfika yetu hadi DP World wamekimbia 😅😅🙌
Kwani niliandika nini, isijekuwa Mjukuu wangu alishika simu akawapostia hayo Masihara unayosema 🤪🏃🏃🏃🏃full kurusha roho, kimasihara ziendelee😂 au unasemaje
Forever and everShem asante sana 😍😍😍
Heheee aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapo Pa vya kuchanikaaa, umenikamataa ntavizoa km vyoteee. C unsjua napenda mwili wangu uwe nje upigwe na hewaaaa.
Kwa nini nisipajue, nitakupiga na migebuka usoni ndio uamini😂Kazuramimba lol!!
Upajulie wapi wee unapasikia tu!!
Ubarikiwe sanaForever and ever
Hapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0Ni kweli hii ??
Sijafuatilia mambo ya siasa siku nyingi .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnooooo, yaan jeans zangu zotee lazima ziwe ripped, nikikuta nzima nikiipenda nachukua naichanaa ku modify.Heheee aisee
Una ripped jeans za kutosha .
😂😂😂😂Watu wanatokaa uzeeni, wanaenda ujanani.
Nguvu ya [emoji385], [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamissa hiyo shingo, mama K hayo km anavuta Bangiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2674398
Wewe nahisi ukiikosa wiki tu unaokota makopo. Iko damuni mwako🤣🤣🤣Jomoneee nimetengeneza snack hii hapa, tamuuu balaa [emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2674401
Umetisha sana babu yake AntonniaNimefurahi kusikia Ofa ya DP World kulikodisha Jukwaa letu la Selfika na JF kwa kipindi kisichojulikana imetupiliwa mbali.
Kongole kwa Wanasheria wetu makini wakiongozwa na mshamba_hachekwi Tinsley Mjep na Wakili msomi rabbitus kuweza kusimamia hili
Sasa tunaweza kunywa John Walker zetu kwa utulivu sasa 🤪
Guys it's Friday 🥂
So sadHapana Mjukuu, mpaka sasa DP World anaongoza 3 -0
Huenda sisi ndiyo tukawa Wazee wa mwisho mwisho kushuhudia Bandari ikihamishwa umiliki kwenda kwa WaDubai.
Sijui Wajukuu zenu watajivunia nini huko mbele ya safari
Anyways, wacha tunywe maji ya uzima si unajua weekend leo 🥂