Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20230629-191241_Boomplay.jpg

🥰
 
Miguu yangu imeniambia
Tumeshakwisha kutiwa nguvu
Mikono yangu nayo imenieleza
Imezipokea baraka za Mungu

Katika kilindi cha moyo wangu
Nasema wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu mimi
Nasema wewe ni Baba

Katika kilindi changu
Cha ndani yangu Baba
Nasema wewe ni Mungu
Halleluya
 
[emoji3][emoji3]Kwakweli kakufaa sana mm aunt yangu aliniangusha lkn nilikuwa tayar nipo chuo Anko hakuwaka sana
Aaaah kumbe ulikua chuoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo shangazi nae alizingua mnoo
 
Yani acha tu ni rahasana mm huwa napika Sili wakat mwingine lazima nitoe hata kibakuli nimpe jirani hasa nikipika vyakula flan hiv watu wale Ile Asante chakula kitam najisikia furaha sana
Yani mtu hata akija kunisalimia utasikia umepika nn. Leo na km kipo natoa km hamna ukikaa tu naingia jikoni
Ntakujaa uwe unanipikiaa shangaziii.
 
Back
Top Bottom