Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Ahahahh majukumu yapo kupendwa na hitaji la kila mtu na mapenzi ni lazima labda uwe mmea kwako haitokuwa lazimaDogo Kuna kanuni, usijibebeshe mizigo mapema, kwa umri wetu huu ndo mda was kutake risk🙏
😀😀Pole koroga juisMi nipo naangua ubuyu na ukwaju kwenye mti
Ngoja nikatafute na juice cola ya 100😂😂, sikupiiii😂😂😀😀Pole koroga juis
Hayaaa😂😂Ahahahh majukumu yapo kupendwa na hitaji la kila mtu na mapenzi ni lazima labda uwe mmea kwako haitokuwa lazima
Nipe nambayake anipe mawili matatu alikufanyaje ukasongesha nijue pa kuanzia 😀😀😀mtu asongesheUnanicheka badala unipe pole jamani
mapenzi uchwara mdogo wangu....mmwenzenu niwaambie sijawahi mimi kupendwa hivi.
Mwenzenu niwambie napendwa mimi kushindaa ninyi
mshamba_hachekwi umesikia View attachment 2673178
Mm sipendi kuitwa dogo ase hakuna anae juwa mwak wangu kuzaliwa mzee nishamkaja Intelligent businessman ww tena ase sitaki ilo jinamapenzi uchwara mdogo wangu....
chukua hii itausaidia hapo mbeleni😂
Ukute umetoka kumlilia mtoto wa mtu alafu unamshaur mwenzio aachane na mapenz muacheni had yamuue 😀mapenzi uchwara mdogo wangu....
chukua hii itausaidia hapo mbeleni😂
hela ya field imeingia mama njoo tuyajenge😁Atafute hela, mwambie tu ukweli 😂
Looh ubahili 😀😀Ngoja nikatafute na juice cola ya 100😂😂, sikupiiii😂😂
yaishe kaka mubwa😅Mm sipendi kuitwa dogo ase hakuna anae juwa mwak wangu kuzaliwa mzee nishamkaja Intelligent businessman ww tena ase sitaki ilo jina
sasa namshauri vizuri sitaki na yeye alie😂Ukute umetoka kumlilia mtoto wa mtu alafu unamshaur mwenzio aachane na mapenz muacheni had yamuue 😀
na mihela yako yote bado unaachwa😂
Hayo ndio maneno sasa totoo😍🥰hela ya field imeingia mama njoo tuyajenge😁
😀😀😀😀😀Hii kauli Umenikumbusha mbali😀😀😀Mpe Somo kijanasasa namshauri vizuri sitaki na yeye alie😂
itaisha yote kwenye kodi ya mwezi mmoja😂Hayo ndio maneno sasa totoo😍🥰
Nitumie kwanza kiasi niongezee kwenye Kodi hapa fasta
Ww mimi sitaki kuitwa mkubwa wala mdogo ww niite kawaida tu mkuu inatosha basyaishe kaka mubwa😅
haniskilizi.... tusubiri uzi wake wa vilio😂😀😀😀😀😀Hii kauli Umenikumbusha mbali😀😀😀Mpe Somo kijana