Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwako
afu mie mbna pocket money sijala sana, yote ilikua inarud kwa mama ananipelekea vicoba.

Michezo ya pesa nimeanza hata sijaanza 4m 5, kila nkitaka kuacha naona km naumwaaa, nakomaaaa.

Mie wa kuomba walikua wengi.
 
Yuko vizuri itakuwa watu wanaojua kupika wengi sio wachoyo Hawa wakuchemsha chemsha hivo supuzao za dagaa wananyima balaa hawali had mgeni aondoke
Kwenye kupikaa huyu mdada anajua, kanifundisha kukaanga yai la nyanya, linatoka km chips zegee, afu tamuu balaaa.

G mda wote ndo anataka nimkaangie, to be the honest huyu mdada ana roho nzuri mnoo, kanifundisha kupikaa na vingne sikuwahi jua.

Sijui kwann serikali haimpi ajira, kila akiomba anakosa.
Mbna ana utu sanaaa.
 
Mm sijabahikaga kuwa na mahusiano ya karibu nilitoroka likizo nikaenda Kwa mtu wangu mbali balaa alafu alikuwa ananihonga mbwa yule nikaona nikampoze machungu nikamuaga auntyangu afanye Siri nikampa na Hela kumbe friji haligandishi akavujisha Siri Kwa Mjomba nilichambwa Hadi nikahis kizunguzungu
siri zangu nyingii anazo alikua mdada wetu wa kazi, Paulina popote ulipoo uwndelee na kifua hicho na moyo huo.

Yaan yulee km kuniweka wazi duniani bas ndo angekua yeye, wazazi na ndugu wanakuja kujua, yeye ashatokaaa zamanii,yaan sina cha kusema, wadada wa kazi wanayajua mengi ya familia kuliko hata familia enyewee.
 
Mzazi wako alikuwa anajua kuwa ulikuwa unalala lodge kabla ya kufika shule???
Hapanaaaa

Wee hela tulikua tunachanga na BF wangu, siwezi tumia zote naanzaje kwan, hata hivyo mbna sikua natumia sana, nilikua natumia vyakula vya shule, sina mambo mengi yaan.
 
Hapanaaaa

Wee hela tulikua tunachanga na BF wangu, siwezi tumia zote naanzaje kwan, hata hivyo mbna sikua natumia sana, nilikua natumia vyakula vya shule, sina mambo mengi yaan.
Sawa huyo BF bado unaye au mmshaachana, maana ujana unamambo mengi. Kwanini usingesuribiri umalize shule ukaolewa?? Ndio ufanye hayo mambo ukiwa na mumeo??
 
Kuna
1 Pilau Nyama
2 Nyama Pilau

huwa napenda nyama Pilau
Ahahaha nakujua mshikaji unapenda kuku njoo ukule
 

Attachments

  • 20230629_134504.jpg
    20230629_134504.jpg
    1.2 MB · Views: 8
BF tulikua wote wanafunzi, tushaachanaa mda tyuuh.
Kuolewaa mchezoo? Waoaji wapo sasa??

Aaliyyah nisaidiee shangaziiiii
Aaah mimi nilikuwa natafuta mchumba ningekuhitaji ILA kwa tabia ulizotuambia humu PIndi uko advance aisee hapana hunifai. Fanya haraka mrudiane na huyo BF akuoe lasivyo utapata tabu sana
 
Aaah mimi nilikuwa natafuta mchumba ningekuhitaji ILA kwa tabia ulizotuambia humu PIndi uko advance aisee hapana hunifai. Fanya haraka mrudiane na huyo BF akuoe lasivyo utapata tabu sana
Kwa sifa na vigezo vilee mie tayari niko nje ya ulingo.
Basi sawa ntamuambia turudianee.
 
Kwenye kupikaa huyu mdada anajua, kanifundisha kukaanga yai la nyanya, linatoka km chips zegee, afu tamuu balaaa.

G mda wote ndo anataka nimkaangie, to be the honest huyu mdada ana roho nzuri mnoo, kanifundisha kupikaa na vingne sikuwahi jua.

Sijui kwann serikali haimpi ajira, kila akiomba anakosa.
Mbna ana utu sanaaa.
Wakat wake Bado inshallah atapata
 
Back
Top Bottom