Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,734
- 3,310
Aaah mimi nilikuwa natafuta mchumba ningekuhitaji ILA kwa tabia ulizotuambia humu PIndi uko advance aisee hapana hunifai. Fanya haraka mrudiane na huyo BF akuoe lasivyo utapata tabu sanaBF tulikua wote wanafunzi, tushaachanaa mda tyuuh.
Kuolewaa mchezoo? Waoaji wapo sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaliyyah nisaidiee shangaziiiii