raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,505
- 35,687
Upensi 🔥🔥🔥🔥🔥Hivi papo bado? Kuna sehemu nimekuja kula chips yai halafu naenda karaoke 777View attachment 2672371
Upensi 🔥🔥🔥🔥🔥Hivi papo bado? Kuna sehemu nimekuja kula chips yai halafu naenda karaoke 777View attachment 2672371
Na Mimi nimepita tu Leo kumbe kumehappen huku?dah😅
mimi napita tu...
mbona unafukua fukua unatafta nini😂Na Mimi nimepita tu Leo kumbe kumehappen huku?
mamaaaaa......😂View attachment 2673524@mshamba_hachekwi 😎😎😎
Nimejipitia tu Mimi!Leo ndio mara ya kwanza nimecomment humu😁😁😁😁mbona unafukua fukua unatafta nini😂
selfika nikuone😂
Mbona kama unakunywa cappuccino?View attachment 2673524@mshamba_hachekwi 😎😎😎
Tuliaa😂😂😂😂mamaaaaa......😂
Nilikuwa sikipendi kinoma,,![]()




ndondo na nguna, plus makande, afu unakuta wanatia mafuta ya taa.Kwa kwelii afanye apatee, daaah ana utu mnoo.Wakat wake Bado inshallah atapata
Aaaah kumbe ulikua chuoo,Kwakweli kakufaa sana mm aunt yangu aliniangusha lkn nilikuwa tayar nipo chuo Anko hakuwaka sana





Ntakujaa uwe unanipikiaa shangaziii.Yani acha tu ni rahasana mm huwa napika Sili wakat mwingine lazima nitoe hata kibakuli nimpe jirani hasa nikipika vyakula flan hiv watu wale Ile Asante chakula kitam najisikia furaha sana
Yani mtu hata akija kunisalimia utasikia umepika nn. Leo na km kipo natoa km hamna ukikaa tu naingia jikoni
G atakuoa wewe Mimi nitakuwa matron
![]()




kwa kweliii, G anioee japo kani suprise mnoo.Vyakula vya shule nimekumbuka siku ya wali weekend mnaoga saa kumi kuwahi foleni
![]()






yaan acha kabisaa shangaziii, life la boarding ni tamuuu.Nimekula chakula cha shule not more than 10 times,,ndondo na nguna, plus makande, afu unakuta wanatia mafuta ya taa.
Awwh mfike mbali kipenzi .kwa kweliii, G anioee japo kani suprise mnoo.
Aaaah.
G wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.Awwh mfike mbali kipenzi .




namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.