Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani acha tu ni rahasana mm huwa napika Sili wakat mwingine lazima nitoe hata kibakuli nimpe jirani hasa nikipika vyakula flan hiv watu wale Ile Asante chakula kitam najisikia furaha sana
Yani mtu hata akija kunisalimia utasikia umepika nn. Leo na km kipo natoa km hamna ukikaa tu naingia jikoni
Ntakujaa uwe unanipikiaa shangaziii.
 
Ring of fire
IMG_20230629_213424.jpg
 
Awwh mfike mbali kipenzi .
G wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.
namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.

Yaan anahisi labda ntamuacha, kumbe bangi kwangu sio ishu.

Afu hakuna anayejua, na wala haoneshiii, na kasema nisimuambie mtu.

Kumbe unaweza tumia bangi, na watu wasikugundue au kujionesha.
 
Back
Top Bottom