Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

G wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.
namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.

Yaan anahisi labda ntamuacha, kumbe bangi kwangu sio ishu.

Afu hakuna anayejua, na wala haoneshiii, na kasema nisimuambie mtu.

Kumbe unaweza tumia bangi, na watu wasikugundue au kujionesha.
True love bhana never dies
Ahh mapenzi ni ukichaa uwii

Hongera sana kwa kupambania penzi lako .
Bangi unakuwa normal kabisa

Juzi nipo sehemu usiku mtu wa bajaji akasema subiri nivute kwanza ndo nije na kaendesha fresh kweli
 
G wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.
namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.

Yaan anahisi labda ntamuacha, kumbe bangi kwangu sio ishu.

Afu hakuna anayejua, na wala haoneshiii, na kasema nisimuambie mtu.

Kumbe unaweza tumia bangi, na watu wasikugundue au kujionesha.
Njoo Spur basi, utarudi chuoni kesho 😊😊
 
G wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.
namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.

Yaan anahisi labda ntamuacha, kumbe bangi kwangu sio ishu.

Afu hakuna anayejua, na wala haoneshiii, na kasema nisimuambie mtu.

Kumbe unaweza tumia bangi, na watu wasikugundue au kujionesha.
Mtunzie siri shem wetu
Na uzidi kumpenda 😍😍
 
True love bhana never dies
Ahh mapenzi ni ukichaa uwii

Hongera sana kwa kupambania penzi lako .
Bangi unakuwa normal kabisa

Juzi nipo sehemu usiku mtu wa bajaji akasema subiri nivute kwanza ndo nije na kaendesha fresh kweli
G kani suprise, nisingekuta bangi kwake nilipo iona, hata nani angenambia ningekataa, unajua yuko normal kabisaa yaan hajulikani wala haoneshi km anatumia bangi.

Hata yeyote nimuambie eti G anavuta bangi, watasema namsingizia wallah.

Kumbe uchizi wengine wanajifanyisha, sio tatizo bangi .
 
G kani suprise, nisingekuta bangi kwake nilipo iona, hata nani angenambia ningekataa, unajua yuko normal kabisaa yaan hajulikani wala haoneshi km anatumia bangi.

Hata yeyote nimuambie eti G anavuta bangi, watasema namsingizia wallah.

Kumbe uchizi wengine wanajifanyisha, sio tatizo bangi .
Hahaa aisee
Kwa hiyo ukaona kabisa hii hapa
Hukushtuka ??

Labda hatumii sana ndo maana haonyeshi .
 
Back
Top Bottom