Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi huwa naamka na mood nzuri karibia kilasiku nashukuru Mungu Kwa ilo
Siku haiwez Kuisha bila kutabasamu hatamara 10 na zaidi kucheka ndio sana
Alhamdulillah [emoji120][emoji120][emoji120]
Chuki na makasiriko sio shida zako kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakweli Mie nishakubuhuuuu katu sipelekeshwi na mapenzi tena[emoji16][emoji4]!
Kuna vya kunichanganya ila sio Mapenzi!
Ongezaaa sautiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi sio shida zakoo kabisaa.
 
Ana mimba ya [mention]Mjep [/mention] kamzunguka rafike ake [mention]cocastic [/mention] ila wanawake nyie mnajua kuzungukana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayupoo kwa kunizungukaaa, niliwaachaa mwemyewe, na hata yeye.@Mjep anajua.

Muulize akuambieee, huwa siachwiii, mie naachaaa. Upooo??
 
Happy father's day
Mungu azidi kuwabariki kwakweli mlee watoto wenu vyema na awape nguvu na baraka kilasiku kwenye maishayenu
Screenshot_2023_0618_123418.png
❤️❤️
 
Pepo trokkkaaaaaaah!! Sheendwaah kwajena la yesooooooooooo [emoji2788][emoji2788]!!!!

Ana waubani wakee huyoo shika adabu yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweliiiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Nyie hebu niwaache nikapumzike Sasa looh
Leo imekuwa sikunnzuri Nina furaha utasema nimepata bwan mpya Yani had watu wananishangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya asubuhi njema
Kisa Mjep yuko Daslam?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntakuja kuwavunja miguu wotee hapoo. Shangazii kaa kwa nywilaa.
 
Hiv nyie mnawezaje jamni [emoji3][emoji3]
Ninarafikiyang kipenz kaomba aje nikae nae 2 days anadai kichwa hakiko sawa anatka utulivu atulize akili mapenz yanamuendesha had huruma [emoji24]namuhurumia
Ndo maana wiki hii nimeamua kuwa happy always mgeni akija nisimuongezee simanzi moyoni,kwakweli muwe mnatupa darasa wadogozenu Hali si shwari Vijana Hawa wataua wenzao
Mletee kwangu nim train kuhusu mapenzii, akitoka hapaa ameivaa kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mletee kwangu nim train kuhusu mapenzii, akitoka hapaa ameivaa kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Train wew sikutaki utaniharibia shogaang na mafantassy Yako😂😂😂
 
Train wew sikutaki utaniharibia shogaang na mafantassy Yako[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mletee kwangu bhanaa.
Yaan akitoka hapaa, mbna mapenzi kwake sio shida kabisaa.
 
Back
Top Bottom