Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,353
- 96,634
I mean no malice to nobody, hata Countrywide ana jua hatuna bifu🤣😂😂🤣najua wala usijali
I mean no malice to nobody, hata Countrywide ana jua hatuna bifu🤣😂😂🤣najua wala usijali
Hapo anaonyeshwa jimbo liko wazi mkuu tunaweza tukaenda kupiga miluzi tuopoe mwali so unaona hakuna ring, paja lisikuogopeshe linaweza likawa paja lako ushalisahau 😆We Aaliyyah umeshika paja la Nani🤔🤔, Nita tuma team ya extraction ikiongozwa na mwizi anaye chipukia National Anthem, mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, mpiga chaboo Poor Brain, miyeyusho stow away, miss selfie Dahan, na mnafiki mshamba_hachekwi chambo wa wezi Analyse
👉Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
Aaliyyah iam missing you all ready😪😪😂😂Mshenz Kweli Wew
Wewe huyo sogea tukae mkuu msogelee mkae pamoja tu Wala usihofu hautapigwa tupo nyuma yako 😆
😄😄😃
Matajiri wa Songea ni nouma 😂😂😂😂Kisumapai bado yukooo vizuri
Ottawa alifurushwaa kuna nyumba yake msamala karibu na stand ya zaman, ile inasifika kwa matukio ya ajabu,
Sasa wazungu ndo walipanga mule, bhanaa wee wakichezea kichapooo na kulazimishwa waongee kiswahili
Misukule ya ottawa mchezoo, wazungu wakashitaki ndo akafurushwaa.
![]()
Ili nikigeuka nikute mmesepaa🤣😂Wewe huyo sogea tukae mkuu msogelee mkae pamoja tu Wala usihofu hautapigwa tupo nyuma yako 😆
Matajiri wa Songea ni nouma
Halafu wakifa na mali zote zinapotea. Walikuwepo wakina Kiswele![]()





huyo ashapotea, 





Unamwaga mchele bila uoga kabisaaa. Inatosha aiseee 😂😂😂huyo ashapotea,
Songeaa kwa sasa anavuma Super feo, naye ni kafara mnoo.
Magari yanaanguka holela, waliachana na mkewe kisa kukataa kutoa kafara ya mtoto wao.
Super feo ana fitina mnoo, alimfanyia fitina New force,
Zilichapwa ngumi kati ya wachina na wabongo, famchezo nn
Kung fu watu waliona livee![]()
Unamwaga mchele bila uoga kabisaaa. Inatosha aiseee![]()




usiku mwemaaa.Mapema sanausiku mwemaaa.
Emu ofungulie uzi mkuu, tupe intro kidogoGuys the hot movie by Joe & Russo brothers is out nowView attachment 2660849
OkEmu ofungulie uzi mkuu, tupe intro kidogo


So kwetu, sisi ukiwa na hasira. Utacheka kwa lazima🤣😂😂Tatizo Masai ana hasira, hachelewi kupandisha moli![]()
So kwetu, sisi ukiwa na hasira. Utacheka kwa lazima![]()


Shenzi🤣😂, hujui mi situmiagi mboga pori eg mchicha wa Nazi🤣😂😂Mbona kule ulinuna kwa bichwa komwe![]()
Shenzi, hujui mi situmiagi mboga pori eg mchicha wa Nazi
![]()



