Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Sasa kumbe......??🫢🫢Kumbe Ulitaka Nije ili nikuletee viazi vitamu na maboga ya bure🙄😑😂🤣
Sasa kumbe......??🫢🫢Kumbe Ulitaka Nije ili nikuletee viazi vitamu na maboga ya bure🙄😑😂🤣
Antonnia kwanin umestaafu kuselfika?
Yaani unune half a day,nitakupigaaa na mikate😂🤣Hapa utaenjoy vile napenda utani Sasa ukinikuta nimenuna haizid masala 12
Selfika bila ua DrSasa kumbe......??🫢🫢
Kabisa dear yaani utaenjoy sana na kiukweli Huwa tunawaombea hawajui tu😀Mwanaume akikupenda kwa dhati, anakufanyia mengi mazuri kwa vitendo na si maigizo. Aisee utaenjoy sana. Kosea umpende wewe zaidi afu ajue kwake umekufa ukaoza ndiyo utaishia kulialia kila leo!! Kigi Makasi anasema nakufundisha ujambazi🤣🤣!!
Kila kitu kwa kikomo aisee na
Ukipendwa pendeka !!
Acha nikapike ugali kilo 2 jikoni😂🤣🤣, SI umesema niji sikie Kama nyumbani🙄🤗Sasa kumbe......??🫢🫢
Kipenz changu
Ngoja nimchokoze coca
Kha mbona yupo kimya na hasemi aje nimsaidie miez mitatu ninahamu kula embe mbichi 😂😂Ana mimba
Wew nawe 😀😀unanisagia kunguni[mention]cocastic [/mention]
Mdomo Koma[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Yeah Tunawaombea mnooo!!Kabisa dear yaani utaenjoy sana na kiukweli Huwa tunawaombea hawajui tu😀
Ukinipiga na mikate nakula yote 😀😀Yaani unune half a day,nitakupigaaa na mikate😂🤣
Kha mbona yupo kimya na hasemi aje nimsaidie miez mitatu ninahamu kula embe mbichi [emoji23][emoji23]
Wew nawe [emoji3][emoji3]unanisagia kunguni
Wee usiniambie 😂Ana mimba ya [mention]Mjep [/mention] kamzunguka rafike ake [mention]cocastic [/mention] ila wanawake nyie mnajua kuzungukana
Mbona nipo hpa jirani na hujanambia😂😂😂Watu wa Dar
Hapa ni wapi??
Hapa ni wapi??
Mwalimu wa Mase alisema sifiki mbali
Hapa ni wapi???
Bila kutaja walimu hampumui mfyyuu!! 😊😊😊!!Watu wa Dar
Hapa ni wapi??
Hapa ni wapi??
Mwalimu wa Mase alisema sifiki mbali
Hapa ni wapi???
Wee usiniambie [emoji23]
Watoto ni baraka kijana zaa mapema umalize hekaheka !!Ana mimba