Kuteseka kdg lazima kutatokea kama walikuwa na mipango and huenda kuna some sacrifices amezifanya tayari kwa ajili ya huyo mtu wake.
Lakini inabidi tu akubaliane na hali pale mambo yanapobadilika. Mungu anamuepusha na mabalaa mengi huko mbeleni yeye anang'ang'ana SHAURILAKE.
Wewe kama mshauri na mfariji kwa wakati huu fanya yafuatayo
1. Usiungane naye katika kumlaumu huyo mtu wake, hapo haponi zaidi anaongeza kidonda. Yaani hata msimzungumzie tuu, asiwe subject kiviile.
2. Mwongeleshe story zenye image mbaya za baadaye, yaani unamfanya anazivuta hizo image karibu, mfano. Imagine ndo wapo kwenye ndoa mwanaume anakuja na mwananke mwingine nyumbani, analewa, anamkata kata mapanga maana hampendi, anamkana hadharani kwamba yeye king'ang'anizi.. make sure anavuta hiyo picha kama vile yanatokea now.
3. Mwongeleshe story zenye positives images without him, kumbe alikuwa anaenda kukutana na mwanaume mwingine mzuri, atakayempenda na kumheshimu, mwenye mali.., hakikisha una picha picha nyingi za kuangalia naye, hakikisha anavuta picha ndo kashapata handsome amempeleka Zanzibar huko, Serengeti analisha twiga, Dubai nk nk...
4. Toka naye out, mnunulie hata zawadi ndogo tu, piteni mcity pale muangalie movie, mpitishe mle ndani afanye window shopping huku akipita mkaka mzuri mzuri uwe unasifia, atajikuta nayeye anaanza kufunguka macho kuona nje..
Notes zingine kesho

Sent using
Jamii Forums mobile app