Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,210
- 183,059
Ohooo hapo pagumu!!Wamezaa wakaoana badae ila ndo Ivo mambo hayaeleweki
Ohooo hapo pagumu!!Wamezaa wakaoana badae ila ndo Ivo mambo hayaeleweki
Arrrgh SI Bora uwe mwenyewe tu Sasa🤣😂, mi napenda amani na utulivu🤗Dunia hii Ina wanaume wanajua kutesa wanawake zao Yani mtu haujifeel ukosingle Wala kwenye kuolewa haupo unaelea elea tu
Woga up, akati Nina marafiki wa kike lol🤣😂😂. Na Wala sinaga mzuka huo🤣Ni woga tu !!
Kuteseka kdg lazima kutatokea kama walikuwa na mipango and huenda kuna some sacrifices amezifanya tayari kwa ajili ya huyo mtu wake.Kweli kabisa Haina maana Na wanajifanya wajuaji kupenda wazima wazima Ndo wanateseka sie vichaa [emoji23][emoji23][emoji23]@Antonnia sweetheart sweetheart Ndo nyingi
Simama hapo pembeni kwanza ....Una maanisha nikaee, Asante 🙏😂🤣
Sawa dear uko vizuri Yan nimeumia utasema mm ndo mhusikaKuteseka kdg lazima kutatokea kama walikuwa na mipango and huenda kuna some sacrifices amezifanya tayari kwa ajili ya huyo mtu wake.
Lakini inabidi tu akubaliane na hali pale mambo yanapobadilika. Mungu anamuepusha na mabalaa mengi huko mbeleni yeye anang'ang'ana SHAURILAKE.
Wewe kama mshauri na mfariji kwa wakati huu fanya yafuatayo
1. Usiungane naye katika kumlaumu huyo mtu wake, hapo haponi zaidi anaongeza kidonda. Yaani hata msimzungumzie tuu, asiwe subject kiviile.
2. Mwongeleshe story zenye image mbaya za baadaye, yaani unamfanya anazivuta hizo image karibu, mfano. Imagine ndo wapo kwenye ndoa mwanaume anakuja na mwananke mwingine nyumbani, analewa, anamkata kata mapanga maana hampendi, anamkana hadharani kwamba yeye king'ang'anizi.. make sure anavuta hiyo picha kama vile yanatokea now.
3. Mwongeleshe story zenye positives images without him, kumbe alikuwa anaenda kukutana na mwanaume mwingine mzuri, atakayempenda na kumheshimu, mwenye mali.., hakikisha una picha picha nyingi za kuangalia naye, hakikisha anavuta picha ndo kashapata handsome amempeleka Zanzibar huko, Serengeti analisha twiga, Dubai nk nk...
4. Toka naye out, mnunulie hata zawadi ndogo tu, piteni mcity pale muangalie movie, mpitishe mle ndani afanye window shopping huku akipita mkaka mzuri mzuri uwe unasifia, atajikuta nayeye anaanza kufunguka macho kuona nje..
Notes zingine kesho [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu tutakula nini??? Ye mwenyewe kawasha yake huko alipo.😵😵Mr Right has to ensure huyu mrembo hawashi laptop jumapili [emoji4][emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ya kupumzika bana leoAlafu tutakula nini??? Ye mwenyewe kawasha yake huko alipo.[emoji43][emoji43]
Ume niletea i cream kopo lile kubwaa😂🤣🤣Simama hapo pembeni kwanza ....
.😊! Hauko sawa wewe!!Woga up, akati Nina marafiki wa kike lol🤣😂😂. Na Wala sinaga mzuka huo🤣
Eti hormone I'm a😂🤣, wacha nyota ipepee💪Hormone imbalance..😊! Hauko sawa wewe!!
Shida una hisi mi mdunguaji😂🤣
Mwanaume unakuaje Virgin😏😏😏!!Eti hormone I'm a😂🤣, wacha nyota ipepee💪
Nadaiwaa😂🤣, Hadi hamu nakosaga😂🤣Mwanaume unakuaje Virgin😏😏😏!!
😂😂DahHormone imbalance..😊! Hauko sawa wewe!!
Kina chekesha mipi🤔, mbea mkubwaa🤣😂😂😂Dah
Nyeto zitakuua kichaa weweeNadaiwaa😂🤣, Hadi hamu nakosaga😂🤣