Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
anapata usumbufu sana alivyo mzuriAntonnia kwanin umestaafu kuselfika?


Sent using Jamii Forums mobile app
anapata usumbufu sana alivyo mzuriAntonnia kwanin umestaafu kuselfika?


Nikishaamuaga sirudigi nyumaaa asee!!one last moment for kichaa ake🙏😂🤣
Mom nashukuru Niko very strong sijawahi kufikia hatua hiyoMtoe out mkajichanganye kidogo walau ile interaction huko inasaidia kiakili !
Kila kitu huja kwanza wakati dear Mungu ni mwema atakuletea kwa wakati mpaka utashangaa mwenyewe!!
Asilaumu wala kukufuru kabisa
Mwehh hata hakuna usumbufu wala kwa uzuri gani labda!!!
Good for you! It's always a reciprocation of what you gave.Na nina bahati ya kupendwa piaaahhh!!( Kwa kukazia tyuuu tukiachana na historia sio kupendwa tu kupendwa na watu wanaojielewa) In cocastic voice
Yani anavoongea tu anatia huruma ningekuwa na Mganga konk shemeji ningemroga 😀Pia Atafute kitu cha kumuweka bize muda mwingi asipate muda wa kuwaza sana au Atafute rafiki wa kiume muelewa awe nae muda mwingi ila awe rafiki tyuu asijichanganye vya mapenzi!! Taratibuuu atarikava!!
Maneno tu for sure, intelli ndivyo NILIVYO. Nasoma wee Afu nakuja waambiaVirgin unajua matrundu yoteee mfyuu!
Ule ule niliouonaMwehh hata hakuna usumbufu wala kwa uzuri gani labda!!!
Nimeamua tu
Virgin y wapi kwanza😂😂😂Dah dharau hizi, ko sisi ma virgin hatuna la kusema😂🤣
👉Afu IAM 74 years old
Jitahidi kumkeep bize unavowezavo stress za mapenzi mbaya sana!Mom nashukuru Niko very strong sijawahi kufikia hatua hiyo
Ila naona hii tofauti nitajitahid asijisikie unyonge
Fanya mpango niongee nae, siku 3 tu atapona. Aim serious AaliyyahYani anavoongea tu anatia huruma ningekuwa na Mganga konk shemeji ningemroga 😀
Yani anavoongea tu anatia huruma ningekuwa na Mganga konk shemeji ningemroga![]()


ndo maana hujapewa huo ujuzi, badala yake ukapewa huo moyo mlaini Anatafuta ngumi mwambie mimi ngumi mkononi bhna 😅😅😅Ana sema mli nyweshana Hadi bia😂🤣🤣
Binti Ni nini hikii??, IAM a virgin for real🤗Virgin y wapi kwanza😂😂😂
Ata mimi namuonaMwachiluwi huyu Jamaa Hana lengo zuri😂🤣🤣
Ewaaaaaaaah!Usijareee kabesa tutazunguka sehemu nyingi nyingi uzuri wee ni mwenyeji huko!
Ameen amen!
Kwanza dear nimeogopa naonaga tu kwenye mitandao watu wanastresika na mapenz hivo sikujua nitamuona live mtu wa hivo 😭Jitahidi kumkeep bize unavowezavo stress za mapenzi mbaya sana!
Mwanaume virgin hata hapendezii ..bora awe mtrundu tyuu😛!Maneno tu for sure, intelli ndivyo NILIVYO. Nasoma wee Afu nakuja waambia
👉Kama fundi vile🤣😂, ila Ni utani tu. IAM real a virginito
😂😂😂Ujue kunavitu vinakera Yani Mimi kwakweli hapana imeniuma sana mwanaume unamtesa moenzwako hadi anaona kuish ni matesondo maana hujapewa huo ujuzi, badala yake ukapewa huo moyo mlaini
Sent using Jamii Forums mobile app