Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii wiki tangu imeanza sielew mama kilasiku mawaidha ya ndoa sijui kuolewa 😀
Kuna mamaangu wa hiyari Jana kanambia ndoayangu anatak ifungwe kwake 😀Na wakat sijatambulisha mtu nimeishia kucheka tu

Last week wifi zangu wameanza kunisifia bila za msingi

Nikija jf ndoa@manyanza mzabzab wamenikalia kooni
Mwingine huyu nikipika tu anaanza madarasa yake😂😂😂View attachment 2661111
Besty nakwambia tena nisikilize vizuri, uzabzab wangu weka pembeni.
Hamna mzazi anapenda kuona binti yake yupo yupo tuu maana anajua tuu kuwa huyu anapelekewa moto tuu. Unauma sana.
Wee njoo bwana nikuoe mie tena mie wala sina mambo mengi 😝
 
Hii wiki tangu imeanza sielew mama kilasiku mawaidha ya ndoa sijui kuolewa 😀
Kuna mamaangu wa hiyari Jana kanambia ndoayangu anatak ifungwe kwake 😀Na wakat sijatambulisha mtu nimeishia kucheka tu

Last week wifi zangu wameanza kunisifia bila za msingi

Nikija jf ndoa@manyanza mzabzab wamenikalia kooni
Mwingine huyu nikipika tu anaanza madarasa yake😂😂😂View attachment 2661111
Umeanza kuwapikia lini na leo unalalamika nini hapo??

Huwajui hawa viumbe wewe!!!

Anyways maisha ndio hayahayaaa!!
Acha tuishi humohumoo!
 
Umeanza kuwapikia lini na leo unalalamika nini hapo??

Huwajui hawa viumbe wewe!!!

Anyways maisha ndio hayahayaaa!!
Acha tuishi humohumoo!
Napika nyumbani Kwa mama Kuna dadaangu Huwa nampelekea chakula anashinda dukani ndo akawa ananisifia
 
Wala hamna kiukweli ndoa sihitaji mwenyew lakin kuhusu waoaji aisee wakutosha Hadi naona ninakoenda nitapat laan za kukataa wanaume dear
Kama hivo ni jambo jema na Inapendeza sana!
Fanya mambo mapemaa uzae mapema ule maisha!
 
Besty nakwambia tena nisikilize vizuri, uzabzab wangu weka pembeni.
Hamna mzazi anapenda kuona binti yake yupo yupo tuu maana anajua tuu kuwa huyu anapelekewa moto tuu. Unauma sana.
Wee njoo bwana nikuoe mie tena mie wala sina mambo mengi 😝
Sina huo mpango Wala sitak ushauri 😀
 
Back
Top Bottom