Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,498
😂😂😂Hebu niache tuongee mipango ya helaNgoja mwakani, Kama TULIVYO kubaliana mwezi wa 12 😂🤣
😂😂😂Hebu niache tuongee mipango ya helaNgoja mwakani, Kama TULIVYO kubaliana mwezi wa 12 😂🤣
Acha wehu, mtu ana shauriwa Jambo jema🤔Una lako jambo ww
naijua hyo![]()
Acha wehu, mtu ana shauriwa Jambo jema![]()





Nahh baby😍😂🤣🤣😂😂😂Hebu niache tuongee mipango ya hela
Mi mganga mkuu😂🤣🤣, uta ona shuka za mizimu😂Selfika huko kijana leo nipo na ww tu![]()
NaelewaShem kama shem mapenzi bila misukosuko,kugombana,kununiana,hayo siyo mapenzi
Naelewa
Ila shem sijawahi tamani harusi eti nipigie picha watu wanione ndoa sio rahisi ngoja ningoje mda nitaokuwa tayari sahiz hapana
Poleee mdogo wangu sema nini... usilie kwa sauti banaa unaniangusha ujue!!Naelewa
Ila shem sijawahi tamani harusi eti nipigie picha watu wanione ndoa sio rahisi ngoja ningoje mda nitaokuwa tayari sahiz hapana
Unataka awe gaidi gaidi kama wewePoleee mdogo wangu sema nini... usilie kwa sauti banaa unaniangusha ujue!!

Besty nakwambia tena nisikilize vizuri, uzabzab wangu weka pembeni.Hii wiki tangu imeanza sielew mama kilasiku mawaidha ya ndoa sijui kuolewa 😀
Kuna mamaangu wa hiyari Jana kanambia ndoayangu anatak ifungwe kwake 😀Na wakat sijatambulisha mtu nimeishia kucheka tu
Last week wifi zangu wameanza kunisifia bila za msingi
Nikija jf ndoa@manyanza mzabzab wamenikalia kooni
Mwingine huyu nikipika tu anaanza madarasa yake😂😂😂View attachment 2661111
Umeanza kuwapikia lini na leo unalalamika nini hapo??Hii wiki tangu imeanza sielew mama kilasiku mawaidha ya ndoa sijui kuolewa 😀
Kuna mamaangu wa hiyari Jana kanambia ndoayangu anatak ifungwe kwake 😀Na wakat sijatambulisha mtu nimeishia kucheka tu
Last week wifi zangu wameanza kunisifia bila za msingi
Nikija jf ndoa@manyanza mzabzab wamenikalia kooni
Mwingine huyu nikipika tu anaanza madarasa yake😂😂😂View attachment 2661111
Wala hamna kiukweli ndoa sihitaji mwenyew lakin kuhusu waoaji aisee wakutosha Hadi naona ninakoenda nitapat laan za kukataa wanaume dearPoleee mdogo wangu sema nini... usilie kwa sauti banaa unaniangusha ujue!!
Napika nyumbani Kwa mama Kuna dadaangu Huwa nampelekea chakula anashinda dukani ndo akawa ananisifiaUmeanza kuwapikia lini na leo unalalamika nini hapo??
Huwajui hawa viumbe wewe!!!
Anyways maisha ndio hayahayaaa!!
Acha tuishi humohumoo!
Kama hivo ni jambo jema na Inapendeza sana!Wala hamna kiukweli ndoa sihitaji mwenyew lakin kuhusu waoaji aisee wakutosha Hadi naona ninakoenda nitapat laan za kukataa wanaume dear
Ahaa hapo nimeelewa!!Napika nyumbani Kwa mama Kuna dadaangu Huwa nampelekea chakula anashinda dukani ndo akawa ananisifia
Kila kitu kina muda. Usifanye Jambo kisa kuwa lizisha wengine💪Naelewa
Ila shem sijawahi tamani harusi eti nipigie picha watu wanione ndoa sio rahisi ngoja ningoje mda nitaokuwa tayari sahiz hapana
Shida fuvu lako zito😂🤣Ahaa hapo nimeelewa!!
Kwakweli Mie nishakubuhuuuu katu sipelekeshwi na mapenzi tena😁😊!
Sina huo mpango Wala sitak ushauri 😀Besty nakwambia tena nisikilize vizuri, uzabzab wangu weka pembeni.
Hamna mzazi anapenda kuona binti yake yupo yupo tuu maana anajua tuu kuwa huyu anapelekewa moto tuu. Unauma sana.
Wee njoo bwana nikuoe mie tena mie wala sina mambo mengi 😝