Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante,, una mawazo kama yangu.. mwenyewe kabla sijaanzisha mazoea na mtu huwa cha kwanza ninachowaza ni tabia tu siyo uchumi wala siyo kitu kingine maana kusipokuwa na compatibility ya tabia naona kabisa hatutafika mbali
Exactly
Na hilo ndo linanikwamishaga mimi!
 
Kuna baadhi ya wanawake jf wako very cooled kitu ambacho hata nje jf watakuwa hivyo hivyo...

Ila sasa kuna wanawake wengine ukiona comment yake moja tuu....

Ila pia kuna nyuzi za ugomvi zishaanzishwaga jf ...ukiangalia mhusika/wahusika kama kuna vijiwe fulani hivi..

You end up stepping back..!

Ila mimi naamini kila mtu anaweza kubahatika kuonana na mtu from jf na wakafanya maisha pouwa sana
Hivi Kuna wadada waliowahi onana na kuja kuchomoleana betri humu?
 
Mwenyezi Mungu anijaalie msimamo wangu uwe huu huu siku zote,miaka yote hadi nitakapoacha kutumia hii JF

Tatizo la humu unaweza kukutana na lets say ID ya Sakayo Watu8 Karma Depal Hawachi labda na Khantwe

Sasa unakuja kushangaa anayekuja kukuexpose jukwaani ni ID mpya kabisaaaa tofauti na hizo sita ulizowahi kumeet nazo....hapo ndio unapata kizunguzungu unaanza kubet sijui nani kati ya hao atakuwa kanianika?!!

Sasa why upate shida zote hizo?
Hii kitu ishawahi nitokea..ila sikujiuliza sana nilipotezea maana hata huyo aliyeniona na mimi nilimjua kwa namna yangu
 
Current situation. Devouring.

20191127_150638.jpg
 
100℅ hasa waliotongozana pm kizembe. Matarajio yakiwa tofauti ndio na mtu na akili zake mbovu anachomoa betri.
Ni utoto tu.

Lakini kama mmekutana kwa ishu zingine wala hakunaga ujinga huo.
Tatizo la mtu kukuanika humu kwa ID mpya ni la mtu ambaye kwanza hajakuwa na hajielewi kabisaa!!!

Joanah nafikiri hilo unalijua sana tuu kutokana na watu unavyowaona pm! Miandiko tuu inatosha kukuambia tabia ya mtu!

Lengo la kufahamiana huwa ni la watu wawili, kama ni urafiki ni siri yenu ila ambalo huja kuleta shida ni mahusiano yakiingia kati hasa wale wasiojitambua dear!!!
 
Back
Top Bottom