Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Looh sasa sisi ambao hatujakupita kwa chochote kati ya hivyo ulivyovitaja unatufikiriaje eti jamani??
Nafikiri mpaka uwe rafiki na mtu mshazoeana zaidi ya comments za jukwaani!!

Na mnapokuwa mnawasiliana wawili tuu, lazima kuko na vitabia utaviona kabla hata hamjaonana!!

As for me, inaweza nichukua hata miaka mbili nawasiliana na mtu tuu bila hata kuonana naye akiwa na haraka anaweza kuondoka tuu dear!!

Kiukwelii mimi napenda sana kukutana na watu wapya walonipita umri, kiuchumi, elimu! Napenda kujifunza, kinachonitesa humu ndanii ni kuelewa tabia zao kama kweli zitaendana na zangu!
 
Sasa ninyi si mmekutana wote akili zenu zinafananayaani wewe na Shunie ni pipa na mfuniko,, kitu ukiongea wewe yeye atakuja kupigilia msumari na kitu akiongea yeye wewe utakuja kupigilia msumari vile vile

Sasa imagine unafahamiana na ndugu ambaye akili haziendani mimi mtu wa matani yeye yuko kauzu kila pumba nitakazoandika humu lazima aje inbox kuniuliza eti "Karma ni wewe kweli ndiyo umeandika vile??"yamewahi kunikuta instagram hayo sina hamu mimi
 
Mnachukulia maisha serious sana. Mimi nishaonana na watu wengi humu kikazi na socially. Hadi kesho siogopi kukutana na yeyote nikiamua.
Nb: wengi wasemao hawataki au hawataonana na mwanajf....wanaongoza kuonana na watu.

Na pia sababu ya kuwa JF kwa sisi wengine sio kuandika andika tu comments ka hivi...

Hii ni forum ambayo inabidi uitumie positively kupata fursa...
 
Aise Duuh
Umeandika ukweli..

Nakumbuka nilipojiunga jf nilikutana na ugomvi wa wadada team fulani na team fulani walifikia hadi kutukanana..nikashangaa inakuwaje kuwaje..sawa wamekutana jf Sasa why hayo mapungufu yao ya nje ya jf wasiyamalize huko nje..

Kuna wakati huwa natamani rafiki kutoka jf lakini nikifiria Yale ya kusemezana vibaya kwenye Uzi..

Uwiii hapana..tubaki tusijuane tu
 
....
IMG_20191127_153958_4.jpeg
 
Back
Top Bottom