Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Umenikumbusha nanii wanguhamna bwana,, ila ofcourse alikuwa smart na ni mzuri kusema ukweli..
Umenikumbusha nanii wanguhamna bwana,, ila ofcourse alikuwa smart na ni mzuri kusema ukweli..
Hatari ila ni ujinga tuyaani umeona enh??



sasa jamani mie sijasoma shule hizo ambazo ziko karibu na mashamba japo pia mie siyo wa kishua kabisa hauwezi amini,, tunapambana na maisha tu and the struggle is real..
Karma njoo ujibu hizi shutuma...kumbe hujui hata maindi ya kukaanga na mabukunda yalikua na ladha gani??
Daaa ila tumesoma kwa shida sana aisee tulikua tunaenda kulima mashamba ya walimu hadi mikono inawaka moto![]()
Hahahah....nimecheka hadi watu wananishangaa
Nimescroll huko juu kuitafuta picha yako holaaa..embu fanya kutupia moja kamoyo kangu katulie..
Naomba nikuchomolee betri joanah ili ubadilishe I'd 😁😁😁Huu mwaka nimeshuhudia watu wanakimbia ID zao sababu ya meeting za kizembe zembe 😂😂😂😂
Mie navyoipenda ID yangu sijioni nikitumia ID tofauti na hii arif!!!!



Hahaha...somehow it's true
Kuna raia wameiharibu sana hii forum hasa new comers kuanzia 2014 hapo kuja huku 2019
Naunga mkono hojaHivi ile siku niliyoweka picha sikukutag e?
hamna bwana,, ila ofcourse alikuwa smart na ni mzuri kusema ukweli..
Hahahahah ee hawana uhakika
Halafu JF inanoga hivi hivi tusivyojuana bhana![]()
HukuniTag..Hivi ile siku niliyoweka picha sikukutag e?

..tupiamo jamani


tatizo miandiko...ukikutana na wale wenye miandiko mnayo ipendelea humu kuna asilimia 95 za kuchomoleana betri
Na siku utakayoamua kukutana na mtu ujue betri inachomolewa.
yaani umeona enh??
Wanywaji tunakutana sana na sijawahi kuona madhara yoyote...
Miandiko kwangu hapanatatizo miandiko...ukikutana na wale wenye miandiko mnayo ipendelea humu kuna asilimia 95 za kuchomoleana betri
Huu mwaka nimeshuhudia watu wanakimbia ID zao sababu ya meeting za kizembe zembe
Mie navyoipenda ID yangu sijioni nikitumia ID tofauti na hii arif!!!!
Duuh hivi aliyejiunga 2014 naye bado ni new comer??
Halafu nasikia eti zamani mlikuwa mnaandaa party mnakutana bila kujuana ni kweli??![]()

Hahahaha eti enh??