Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!

Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!

Kwa Kweli mi nimekutana na masela wengi humu JF na Kwa Kweli tumepiga deal za maana na wengine tupo kwenye magroup ya WhatsApp tunajifunza mambo kibao kutoka Kila mmoja wetu. Nimewahi unganishwa kazi kadhaa na hela ndefu tu, JF sio mchezo, Au ni mimi tu ndio lucky
 
Mwenyezi Mungu anijaalie msimamo wangu uwe huu huu siku zote,miaka yote hadi nitakapoacha kutumia hii JF

Tatizo la humu unaweza kukutana na lets say ID ya Sakayo Watu8 Karma Depal Hawachi labda na Khantwe

Sasa unakuja kushangaa anayekuja kukuexpose jukwaani ni ID mpya kabisaaaa tofauti na hizo sita ulizowahi kumeet nazo....hapo ndio unapata kizunguzungu unaanza kubet sijui nani kati ya hao atakuwa kanianika?!!

Sasa why upate shida zote hizo?
Tatizo la mtu kukuanika humu kwa ID mpya ni la mtu ambaye kwanza hajakuwa na hajielewi kabisaa!!!

Joanah nafikiri hilo unalijua sana tuu kutokana na watu unavyowaona pm! Miandiko tuu inatosha kukuambia tabia ya mtu!

Lengo la kufahamiana huwa ni la watu wawili, kama ni urafiki ni siri yenu ila ambalo huja kuleta shida ni mahusiano yakiingia kati hasa wale wasiojitambua dear!!!
 
Kwa Kweli mi nimekutana na masela wengi humu JF na Kwa Kweli tumepiga deal za maana na wengine tupo kwenye magroup ya WhatsApp tunajifunza mambo kibao kutoka Kila mmoja wetu. Nimewahi unganishwa kazi kadhaa na hela ndefu tu, JF sio mchezo, Au ni mimi tu ndio lucky
Labda uko na bahati mkuu... Nyie wenyewe kwa wenyewe hamnaga shida, sasa issue inakuwaga me na ke!
 
Tatizo la mtu kukuanika humu kwa ID mpya ni la mtu ambaye kwanza hajakuwa na hajielewi kabisaa!!!

Joanah nafikiri hilo unalijua sana tuu kutokana na watu unavyowaona pm! Miandiko tuu inatosha kukuambia tabia ya mtu!

Lengo la kufahamiana huwa ni la watu wawili, kama ni urafiki ni siri yenu ila ambalo huja kuleta shida ni mahusiano yakiingia kati hasa wale wasiojitambua dear!!!


Sakayo mie kuangalia mwandiko wa nani ni mwema na wa nani sio mwema sijui kwasababu kuna pretenders wengi

Jambo ambalo nazidi kujifunza ni kutrust nobody

Napenda sana kuwa na marafiki,lakini mimi sio risk taker enough kuanza urafiki na mtu wa humu hadi kukutana nae

Nina moyo mwepesi sana wa kuumia,jambo dogo linaweza kuniumiza sana

So ni heri kubaki tusiojulikana ili kustay away from trouble na kuumia
 
Hembu agiza togwa hapo
Tatizo la mtu kukuanika humu kwa ID mpya ni la mtu ambaye kwanza hajakuwa na hajielewi kabisaa!!!

Joanah nafikiri hilo unalijua sana tuu kutokana na watu unavyowaona pm! Miandiko tuu inatosha kukuambia tabia ya mtu!

Lengo la kufahamiana huwa ni la watu wawili, kama ni urafiki ni siri yenu ila ambalo huja kuleta shida ni mahusiano yakiingia kati hasa wale wasiojitambua dear!!!
 
Back
Top Bottom