Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
I will my.....and that's the million dollar question
always be smart![]()


I will my.....and that's the million dollar question
always be smart![]()


Unajuwa we can't trick our very own shadows...just be real na watu wataotaka associate nawe watakuwa realMoja ya kosa ambalo ukifanya kuna mawili mtu ubadili I'd au usepe mzima jf kama D
Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!
Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!
Si huo 'nsosi' hapo
Nimekuja haraka nikajua nitakutana na guu la hawachi..Naunga mkono hoja
Uzi umenoga huu babeKama zote..
![]()
Guu ana fito mpendwaNimekuja haraka nikajua nitakutana na guu la hawachi..
Mwenyezi Mungu anijaalie msimamo wangu uwe huu huu siku zote,miaka yote hadi nitakapoacha kutumia hii JF
Tatizo la humu unaweza kukutana na lets say ID ya Sakayo Watu8 Karma Depal Hawachi labda na Khantwe
Sasa unakuja kushangaa anayekuja kukuexpose jukwaani ni ID mpya kabisaaaa tofauti na hizo sita ulizowahi kumeet nazo....hapo ndio unapata kizunguzungu unaanza kubet sijui nani kati ya hao atakuwa kanianika?!!
Sasa why upate shida zote hizo?
Nimescroll huko juu kuitafuta picha yako holaaa..embu fanya kutupia moja kamoyo kangu katulie..Ukiongezea na ile picha yako utanoga zaidi![]()
Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!
Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!



wakati miaka yote hiyo minne hatujawahi kusoma madarasa tofauti yaani tulijikuta tunasoma darasa moja hadi tunamaliza..


nikawa nawaza sijui atakuwa kajua..Kwa hiyo ulikua na back bencher wako mmoja uliemwelewa sio?![]()
Usiji-underestimate (kidhungu hiki)..kwa kale kaumbo fito haiwezi kukuhusu hata kidogoGuu ana fito mpendwa
Tuulize sisi mke kila aina inakujia hapo inatakiwa akili kichwani kutambua sio aina ya maisha unayoishi.Unajuwa we can't trick our very own shadows...just be real na watu wataotaka associate nawe watakuwa real
Sasa we unajitangaza wapenda maisha fulani, wataokuandama si watakuwa hao hao wanaopenda maisha unayotangaza...
Usitake kunifanya nishibe haraka tafadhali..



hamna bwana,, ila ofcourse alikuwa smart na ni mzuri kusema ukweli..
Mtoto wa kishua huyo, alikuwa anapenda mahendisamu boy, wale shati imepigwa pasi imenyooka, lunch time wanagonga vyepe/vimto na sio mihogo au aisikrimu za viroba
Usitishike na kale kaumbo nina tumiguu twembamba kama fitoUsiji-underestimate (kidhungu hiki)..kwa kale kaumbo fito haiwezi kukuhusu hata kidogo



yaani umeona enh??
Na siku utakayoamua kukutana na mtu ujue betri inachomolewa.